Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
wadau karibuni tuungane na kina Dotto Bulendu katika udadavuzi wa habari zilizotokea wiki hii hususan ajali ya mv skagit na ze komed za bunge.
karibuni.
karibuni.
wadau karibuni tuungane na kina Dotto Bulendu katika udadavuzi wa habari zilizotokea wiki hii hususan ajali ya mv skagit na ze komed za bunge.
karibuni.
kuhusu Ze Commedy za bunge, sikufurahishwa na kitendo cha viongozi wa Chadema kumtaka spika akubali hoja ya Mh Tundu Lissu kuhusu Meli ya ZANZIBAR wakati chama Hicho hakionyeshi dalili ya Kuwa na uchungu na tukio hilo hasa viongozi na wabunge wake kushiriki katika music, Kunywa, kucheza ngoma jioni yake ktk harusi ya dk Slaa
kuhusu Ze Commedy za bunge, sikufurahishwa na kitendo cha viongozi wa Chadema kumtaka spika akubali hoja ya Mh Tundu Lissu kuhusu Meli ya ZANZIBAR wakati chama Hicho hakionyeshi dalili ya Kuwa na uchungu na tukio hilo hasa viongozi na wabunge wake kushiriki katika music, Kunywa, kucheza ngoma jioni yake ktk harusi ya dk Slaa