Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Tafuta namba yake ya simu umpigie na umshauri sio kuja hapa na kulia lia. Kua kiakili bwana acha utoto wa achie Bavicha mambo ya kulia lia na kujihurumia.Naona Lumumba wenzangu hamtaki kukubali ukweli. Dialo anaweza kuwa anatuharibia zaidi ya kutusafishia njia. Magufuli ni jembe hakuna asiye jua lakini siyo kwa mbwembwe kiasi hicho?? Kampeni bado mbichi.