Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Wana JF.
Leo nikiwa kijiwe fulani napata zangu masanga kulikuwa na TV ambayo walikuwa wameweka station ya Star TV. Kwa takribani masaa kama matano niliyokaa hapo nimeona Star TV wamejitoa akili, yaani imekuwa zaidi ya TBC1. Ni full propaganda! Hii inaweza kuwa na madhara makubwa kwa upande wa biashara baada ya muda.
Nadhani ITV hata kama wanatuhumiwa kuwa ni chombo cha wapinzani lakini wako fair au wana balance. Lakini Star TV imekuwa kama CCM TV, hii ni mbaya TV fulani kueleweka moja kwa moja ni TV yenye mlengo fulani au inaegemea upande fulani.
Endapo uongozi wa Star TV hawatamshauri mmiliki wa Star TV ambaye ni kada wa CCM, athari zake ataziona mara baada ya uchaguzi kwisha. Prevention is better than cure.
Leo nikiwa kijiwe fulani napata zangu masanga kulikuwa na TV ambayo walikuwa wameweka station ya Star TV. Kwa takribani masaa kama matano niliyokaa hapo nimeona Star TV wamejitoa akili, yaani imekuwa zaidi ya TBC1. Ni full propaganda! Hii inaweza kuwa na madhara makubwa kwa upande wa biashara baada ya muda.
Nadhani ITV hata kama wanatuhumiwa kuwa ni chombo cha wapinzani lakini wako fair au wana balance. Lakini Star TV imekuwa kama CCM TV, hii ni mbaya TV fulani kueleweka moja kwa moja ni TV yenye mlengo fulani au inaegemea upande fulani.
Endapo uongozi wa Star TV hawatamshauri mmiliki wa Star TV ambaye ni kada wa CCM, athari zake ataziona mara baada ya uchaguzi kwisha. Prevention is better than cure.