kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Nilikuwa nategemea Star TV ndio chombo consistent katika vipindi vyake.
Nashangaa haya mabadiliko ya mara kwa mara yanatokana na nini, vipindi vimekuwa havieleweki.
Tulizoea Jumapili tuongee asubuhi ni mada zinazohusiana na siasa lakini siku hizi hata mara hakuna mada yoyote, mara elimu. Star TV mnatuangusha.
Yahya vipi kulikoni?
Nashangaa haya mabadiliko ya mara kwa mara yanatokana na nini, vipindi vimekuwa havieleweki.
Tulizoea Jumapili tuongee asubuhi ni mada zinazohusiana na siasa lakini siku hizi hata mara hakuna mada yoyote, mara elimu. Star TV mnatuangusha.
Yahya vipi kulikoni?