Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,378
Wakuu habari za usiku
Kwanza nianze kwa kusema mm sio mpenzi wa michezo hata kidogo. Sifuatilii ligi yoyote duniani kwa sababu sina interest wala motive ya kufanya hivyo.
Ila atleast inapofika kombe la dunia naweza kutupoa macho kwenye TV ili nione michuano hiyo napenda kuona hamasa za mataifa mbali mbali na na kuona Uchungu na raha zinavyo jitokeza katika kipindi cha mtoano
Najua wote twajuankuwa World cup ipo karibuni kuanza napenda kujua kuwa ni kwa namna gani tutaweza kupata matangazo hayo japo nimesikia Startimes watarusha matangazo
Kuna channels zipi zitarusha matches na kwa vifurushi gani na ghalama zipi.
Pia ningependa kujua kama Ving'amuzi vya Startimes vina HDMI ili tuweze kuona picha nzuri na sauti nzuri
Pia kama alternative ya kutazama Michuano hiyo ni vizuri mkaiweka hapa
Samahami kwa usumbufu.
Kwanza nianze kwa kusema mm sio mpenzi wa michezo hata kidogo. Sifuatilii ligi yoyote duniani kwa sababu sina interest wala motive ya kufanya hivyo.
Ila atleast inapofika kombe la dunia naweza kutupoa macho kwenye TV ili nione michuano hiyo napenda kuona hamasa za mataifa mbali mbali na na kuona Uchungu na raha zinavyo jitokeza katika kipindi cha mtoano
Najua wote twajuankuwa World cup ipo karibuni kuanza napenda kujua kuwa ni kwa namna gani tutaweza kupata matangazo hayo japo nimesikia Startimes watarusha matangazo
Kuna channels zipi zitarusha matches na kwa vifurushi gani na ghalama zipi.
Pia ningependa kujua kama Ving'amuzi vya Startimes vina HDMI ili tuweze kuona picha nzuri na sauti nzuri
Pia kama alternative ya kutazama Michuano hiyo ni vizuri mkaiweka hapa
Samahami kwa usumbufu.