mahingah
Senior Member
- Oct 4, 2016
- 199
- 275
Hivi ving'amuzi vya star times vimekuwa sana kero kila Mara kuharibika, Mbona wezenu multchoice (DSTV) hawa huu usumbufu. Toka ninunue king'amuzi chenu hii zaidi ya Mara mbili kinaharibika na nikifika kwenye ofisi zenu kuna ujanja mwingi sana wa kupingwa bei ya matengenezo na mafundi wenu.
Mbona DSTV hawana mambo haya. Pale ofisi zenu Bamaga wale mafundi wa wale madad customer care wote wezi wanawaibia sana wateja wamewageuza kama kitega uchu chao,
Badilikeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona DSTV hawana mambo haya. Pale ofisi zenu Bamaga wale mafundi wa wale madad customer care wote wezi wanawaibia sana wateja wamewageuza kama kitega uchu chao,
Badilikeni
Sent using Jamii Forums mobile app