Standard Bank ya UK kuilipa serikali ya Tanzania fidia sakata mkopo USD milioni 600

Tueleweshwe kwanza imekuaje rushwa na kwa vipi sio rushwa.
 
Ndugu zangu,

Serikali ya Tanzania kulipwa fidia na benki ya Standard ya uingereza kutokana na rushwa iliyogubika mkopo wa dola miloni 600 mwaka 2013.

Sakata hili tulishuhudia aliyewahi kuwa Kamishina Mkuu wa TRA Harry Kitilya na wenzie watatu wakienda lupango.

Ikumbukwe Zitto Kabwe alilalamika sana akisema walionewa na hakukuwa na rushwa.

Zito ni zimwi kwenye hii nchi
 
Ndugu zangu,

Serikali ya Tanzania kulipwa fidia na benki ya Standard ya uingereza kutokana na rushwa iliyogubika mkopo wa dola miloni 600 mwaka 2013.

Sakata hili tulishuhudia aliyewahi kuwa Kamishina Mkuu wa TRA Harry Kitilya na wenzie watatu wakienda lupango.

Ikumbukwe Zitto Kabwe alilalamika sana akisema walionewa na hakukuwa na rushwa.


niliona Sioi alifungua kesi kuishitaki hiyo benki kuwa benki hiyo iliibia serikali ya tanzania
 
Back
Top Bottom