Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,215
- 7,906
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Mhandisi. Modest Apolinary amewataka Wananchi na wote na wanaopata huduma za usafiri kwenda mikoani kwa kutumia stendi ya mabasi ya Buzuruga Manispaa ya Ilemela kujiandaa na mabadiliko ya kuanza kutumia stendi mpya ya Nyamhongolo kuanza August 16, 2022.
Modest amesema kwa Wananchi ambao hawatakuwa na tiketi watalipia 1,000 ikiwa na gharama za uendeshaji wa stendi mpya.
“Wananchi wote wanaopata huduma za usafiri kwenda mikoani August 16, tunaanza kutumia stendi yetu mpya ya Nyamhongolo, nikuchukue nafasi hii kumshukuru Rais Samia kwa kutufanikishia kukamilika, stendi hii imegharimu kiasi cha Bilioni 26. 6 hadi kukamilika kwake”.
Chanzo: Millard Ayo
Modest amesema kwa Wananchi ambao hawatakuwa na tiketi watalipia 1,000 ikiwa na gharama za uendeshaji wa stendi mpya.
“Wananchi wote wanaopata huduma za usafiri kwenda mikoani August 16, tunaanza kutumia stendi yetu mpya ya Nyamhongolo, nikuchukue nafasi hii kumshukuru Rais Samia kwa kutufanikishia kukamilika, stendi hii imegharimu kiasi cha Bilioni 26. 6 hadi kukamilika kwake”.
Chanzo: Millard Ayo