M-bongotz JF-Expert Member Jan 7, 2010 1,734 405 Nov 11, 2011 #22 Msiwe na haraka jamani,mkuu wa kaya bado yupo ziarani akirudi tutazindua tu,si mnajua kila kitu lazima kizinduliwe na mkuu.
Msiwe na haraka jamani,mkuu wa kaya bado yupo ziarani akirudi tutazindua tu,si mnajua kila kitu lazima kizinduliwe na mkuu.
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,133 16,197 Nov 11, 2011 #23 Husninyo said: Poleni wakazi wa mbezi. Click to expand... asante tumepoa!