"Staili" ya kuoa suria kwa wachaga...

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,319
Katika baadhi ya maeneo ya uchagani hasa Rombo, kuoa suria ina maana kuishi na mwanamke bila ndoa. Sasa nakumbuka staili iliyokuwa inatumika mabayo kuna jamaa yangu ananiambia anataka akaipraktiz hivi punde. Inakuwa unachofanya ni kumshawishi dada mkawa na ukaribu, au hata uchumba na akawa anakutembelea kwako. Siku ya siku ikifika unamfungia ndani kwa nguvu, unamshulikia had asubuhi, baada ya hapo anakuwa mkeo na harudi tena kwao.

Staili hii ya kufungia ndani ikishindikana basi unatafuta jamaa zako wanamvizia barabarani wanambeba mzegamzega had kwako, unashuhulika nae had asubuhi then anakuwa mkeo. Nakumbuka nilishawahi ku-facilitate sana hii kitu. Hata hivyo ilikuja kuanza kupungua baada ya midada kuwa nunda, inashuhulikiwa hadi asubuhi lakini bado inatoroka inarudi kwao, na wengine wakawa wanafungua kesi za ubakaji, ndipo wanaume wakaanza kuacha hii staili, japo ipo kidogo kidogo.

Faida ya hii staili ilikuwa mtu unaweza kuoa demu hata kama yeye hakutaki, ili mradi tu ufanikiwe kumkamata. Kinachofurahisha hata wazazi walikuwa wanaunga mkono na kusaidia sana vijana wao wa kiume kufanya hii kitu. Sijui vijana walikuwa hawajui kutongoza!!!?
 
Tuko ..............si lazima amshughulikie hata akimchukua na kumfungia tu ndani kwake ilimradi tu binti hakulala kwa wazazi au ndugu zake. Tayari umeoa! Ila ilikuwa zamani jamani loh mbona mlikuwa mnawaonea mabinti? Sasa kama ndo kaja The Boss mie sina mpango naye kabisa kaniteka na kunifungia kwake ina maana naolewa naye??
 
Tuko ..............si lazima amshughulikie hata akimchukua na kumfungia tu ndani kwake ilimradi tu binti hakulala kwa wazazi au ndugu zake. Tayari umeoa! Ila ilikuwa zamani jamani loh mbona mlikuwa mnawaonea mabinti? Sasa kama ndo kaja The Boss mie sina mpango naye kabisa kaniteka na kunifungia kwake ina maana naolewa naye??

Inabidi tu uolewe na MJ1 maana umeshalala kwake... na kila mtu anajua kijijini..
 
Tuko ..............si lazima amshughulikie hata akimchukua na kumfungia tu ndani kwake ilimradi tu binti hakulala kwa wazazi au ndugu zake. Tayari umeoa! Ila ilikuwa zamani jamani loh mbona mlikuwa mnawaonea mabinti? Sasa kama ndo kaja The Boss mie sina mpango naye kabisa kaniteka na kunifungia kwake ina maana naolewa naye??

Dada hii kitu bado ipo asikwambie mtu kuwa imeisha. Binafsi niliambiwa hii ngoma bado inaendelea tena kwa sana ru. Sema wachaga ni watu wa siri sana hawaweki hadharani mambo yao ndiyo maana huwa hawapendi hata watoto wao wa kiume waoe makabila mengine wakihofia mambo haya yao kujulikana na watu wa 'mataifa'.

Pia kuna hii ya wazazi kutembea na wake za watoto wao ambao wako mikoani wakitafuta mali. Hili nalo ni kweli, we ukioa then unamuacha mkeo kwenu uchagani migombani, basi baba huwa anapasha moto wakati mtoto haupo na kama akipata mimba mtoto atahesabika ni wako wewe mtoto na sio wa baba.

Pia kuna hii ya wazazi kuwaamkia watoto wao wa kuwazaa, kisa eti wana hela. Mila nyingine bwana ni vichekesho kwa kwenda mbele
 
Huko mwanamke hakuna kupenda ndugu. Utajifunza kupenda wakati tayari uko kwenye ndoa
 
Katika baadhi ya maeneo ya uchagani hasa Rombo, kuoa suria ina maana kuishi na mwanamke bila ndoa. Sasa nakumbuka staili iliyokuwa inatumika mabayo kuna jamaa yangu ananiambia anataka akaipraktiz hivi punde. Inakuwa unachofanya ni kumshawishi dada mkawa na ukaribu, au hata uchumba na akawa anakutembelea kwako. Siku ya siku ikifika unamfungia ndani kwa nguvu, unamshulikia had asubuhi, baada ya hapo anakuwa mkeo na harudi tena kwao.

Staili hii ya kufungia ndani ikishindikana basi unatafuta jamaa zako wanamvizia barabarani wanambeba mzegamzega had kwako, unashuhulika nae had asubuhi then anakuwa mkeo. Nakumbuka nilishawahi ku-facilitate sana hii kitu. Hata hivyo ilikuja kuanza kupungua baada ya midada kuwa nunda, inashuhulikiwa hadi asubuhi lakini bado inatoroka inarudi kwao, na wengine wakawa wanafungua kesi za ubakaji, ndipo wanaume wakaanza kuacha hii staili, japo ipo kidogo kidogo.

Faida ya hii staili ilikuwa mtu unaweza kuoa demu hata kama yeye hakutaki, ili mradi tu ufanikiwe kumkamata. Kinachofurahisha hata wazazi walikuwa wanaunga mkono na kusaidia sana vijana wao wa kiume kufanya hii kitu. Sijui vijana walikuwa hawajui kutongoza!!!?

Nani kakwambia wachaga wanajua kutongoza mkuu, zao ni kubeba tu kama fisi anavyobeba mzoga
 
Tuko hii kitu ilikuwa zamani sana,nadhani ilianza kupotea in the late 90 kama sikosei,kuhusu suria kwetu kibosho ni pale unapokuwa hamjafunga ndoa kanisani wote mnachukuliwa kama suria na wazazi wako huwa hadi kanisani wanatengwa fulani hivi na hili hupelekea presha kwa nyie vijana muoane ili wao watambulike na kupewa huduma za kiroho,Ndyoko taratibu mkuu wachagga wanatongoza bwana acha hizo.
 
Pia kuna hii ya wazazi kutembea na wake za watoto wao ambao wako mikoani wakitafuta mali. Hili nalo ni kweli, we ukioa then unamuacha mkeo kwenu uchagani migombani, basi baba huwa anapasha moto wakati mtoto haupo na kama akipata mimba mtoto atahesabika ni wako wewe mtoto na sio wa baba.

Pia kuna hii ya wazazi kuwaamkia watoto wao wa kuwazaa, kisa eti wana hela. Mila nyingine bwana ni vichekesho kwa kwenda mbele

Mkuu hii kitu wanasema ni kudumisha ukoo. Sasa wewe unataka ukiacha mkeo akapashwe na watu ambao hata ukoo hamna. Bora dingi maana hata akipata mimba ni damu yako...
 
Dada hii kitu bado ipo asikwambie mtu kuwa imeisha. Binafsi niliambiwa hii ngoma bado inaendelea tena kwa sana ru. Sema wachaga ni watu wa siri sana hawaweki hadharani mambo yao ndiyo maana huwa hawapendi hata watoto wao wa kiume waoe makabila mengine wakihofia mambo haya yao kujulikana na watu wa 'mataifa'.

Pia kuna hii ya wazazi kutembea na wake za watoto wao ambao wako mikoani wakitafuta mali. Hili nalo ni kweli, we ukioa then unamuacha mkeo kwenu uchagani migombani, basi baba huwa anapasha moto wakati mtoto haupo na kama akipata mimba mtoto atahesabika ni wako wewe mtoto na sio wa baba.

Pia kuna hii ya wazazi kuwaamkia watoto wao wa kuwazaa, kisa eti wana hela. Mila nyingine bwana ni vichekesho kwa kwenda mbele

Propaganda....

Huko mwanamke hakuna kupenda ndugu. Utajifunza kupenda wakati tayari uko kwenye ndoa

Mambo yakufikirika sio uhalisia!

Nani kakwambia wachaga wanajua kutongoza mkuu, zao ni kubeba tu kama fisi anavyobeba mzoga

Propaganda.....


Yeahh nimewahi kusikia kuhusu hiyo kitu...uzuri wake ni kwamba tu ikitokea msichana na mvulana wanapendana hata kama wazazi wao hawawakubali pamoja bado walikua na nafasi ya kua pamoja!!
 
Tuko hii kitu ilikuwa zamani sana,nadhani ilianza kupotea in the late 90 kama sikosei,kuhusu suria kwetu kibosho ni pale unapokuwa hamjafunga ndoa kanisani wote mnachukuliwa kama suria na wazazi wako huwa hadi kanisani wanatengwa fulani hivi na hili hupelekea presha kwa nyie vijana muoane ili wao watambulike na kupewa huduma za kiroho,Ndyoko taratibu mkuu wachagga wanatongoza bwana acha hizo.

Haijaisha mkuu, ipo sana tu na hata krismas ya mwaka jana kuna jamaa kaoa hivo...

Hivi unakumbuka vituko vyake? Kwa mfano ilikuwa ukishamfungia ndani, jamaa au kaka zako wanasikiliza kwa dirishani, ikiwa hugongi wanakugongea wanakufokea. binti akitaka kuleta ukorofi wanakushikia, ukishindwa wanakusaidia... hahaha.....
 
Yeahh nimewahi kusikia kuhusu hiyo kitu...uzuri wake ni kwamba tu ikitokea msichana na mvulana wanapendana hata kama wazazi wao hawawakubali pamoja bado walikua na nafasi ya kua pamoja!!

Can you imagine kama ungeenda huko ukakutana na hii dhahama ya kufungiwa ndani...
 
Hizi mila za Wachaga hizi.....mara wababa wanalala na mabinti zao wao mwisho....mara sijui nini..aaah! Sijui hata ukweli ni upi.
 
Ukweli ni ule unaofunikwa na uongo!!!

Kuna mtu hapa Disemba mwaka jana alikuja na kashfa na kudai kwamba watoto wa mwisho wa kike wa Kichaga huwaga wanalalwa na baba zao wa kuwazaa.

Na sikuona watu kupinga zaidi ya Eng. Nsiande aliyesimama kidete kupinga. Hapo unasemaje Lizzy? Ni kweli akina Manka huwa wanaingiliwa na baba zao?
 
Tuko imepungua kwa kiasi kikubwa sana,nakumbuka miaka ya 90 mwanzoni hali ilikuwa balaa yaani hiyo dec lazima wasichana sio chini ya 10 waondoke kwa staili hiyo,lakini last yr nilikuwa kijijini sikusikia hata moja,sio nzuri haswa pale binti anapokuwa hajamkubali jamaa it is some sort of brutality i must say manake kuna moja nakumbuka nikiwa primary aligomea mlangoni alipigwa makofi ya ukweli ilibidi aingie tu,kuhusu swala la wazee kwa kweli siwezi kuliongelea labda hukoo zamani hili la kuzaa na wake za watoto wao.Lizzy usiombee hii ishu ikukute utajuta if u don't like the guy ofcourse
 
NN what i can say is some stuffs about chagga are all about generalization,just because it happens to a certain chagga family then all chaggas are like that,where i come from i have never heard about Manka's sleeping with their father's,i grew up in Kibosho to be precise and in no time i came around such an instance.
 
Kuna mtu hapa Disemba mwaka jana alikuja na kashfa na kudai kwamba watoto wa mwisho wa kike wa Kichaga huwaga wanalalwa na baba zao wa kuwazaa.

Na sikuona watu kupinga zaidi ya Eng. Nsiande aliyesimama kidete kupinga. Hapo unasemaje Lizzy? Ni kweli akina Manka huwa wanaingiliwa na baba zao?

Uwongo mtupu.
Watu wamechoshwa na hayo maneno ndio maana wakati mwingine wanaamua wajinyamazie tu.
Tatizoni kwamba MIAFRIKA ikiona watu wa jinsia tofauti wako karibu/wanapendana wanaanza kufikiria ngono. Watoto wa mwisho wa kike hua wanapendwa zaidi na baba zao na wa kiume na mama zao...sasa huo ukaribu ndo unaotafsiriwa hivyo na wale wasiojua kwamba kumpenda mtoto wako wa jinsia tofauti na yako ni jambo la kawaida kabisa.
 
Tuko imepungua kwa kiasi kikubwa sana,nakumbuka miaka ya 90 mwanzoni hali ilikuwa balaa yaani hiyo dec lazima wasichana sio chini ya 10 waondoke kwa staili hiyo,lakini last yr nilikuwa kijijini sikusikia hata moja,sio nzuri haswa pale binti anapokuwa hajamkubali jamaa it is some sort of brutality i must say manake kuna moja nakumbuka nikiwa primary aligomea mlangoni alipigwa makofi ya ukweli ilibidi aingie tu,kuhusu swala la wazee kwa kweli siwezi kuliongelea labda hukoo zamani hili la kuzaa na wake za watoto wao.Lizzy usiombee hii ishu ikukute utajuta if u don't like the guy ofcourse

Hahahaha....yeahhh kama humpendi ni noma!!
Ila ukute nilikua namzimia kisirisiri...ahhh najichekea tu mwenyewe!!
 
Back
Top Bottom