Staili mpya ya wezi usiku.

Toluene

Member
Sep 12, 2011
54
40
Wezi wa usiku hasa mitaa ya sinza madukani hadi kumekucha wameibuka na staili mpya ya wizi ambayo wanaiita chipsi mayai. staili hii jamaa huchukua jiwe na kulibeba kwenye mfuko mweusi kama chipsi vile ukipishana naye tu anakutandika nalo kisogoni hadi network zinakata na baada ya hapo anakusaula kila kitu.


Chukua tahadhari!
 
Sasa hivi hatutawavumilia tumechoka. Walah tutawamwaga ubongo lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom