Kungarochi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 271
- 572
Nimetokea kuvutiwa/kunogewa sana na hii style mpya ya Harmonize ya kukohoa kohoa kwenye beat wakati akiwa anaimba, kweli huyu jamaa ni teacher kama anavojiita.
Kudos kwa hilo.
Kudos kwa hilo.
Alikuwa Marekani mwaka huu... Wewe ulishaenda huko?Hizo za hivo zina bang Tandika, Mtwara, Mbagala n.k
Hazitoki nnje ya Bongo!! Utasikia kila siku show zake ni ndani ya mipaka ya East Afrika tu na mbali sana ni Kenya!!!
Naona umemuwahi juu kwa juu.....Alikuwa Marekani mwaka huu... Wewe ulishaenda huko?
Hata Roma yuko Marekani miezi mingi sasa!!!Alikuwa Marekani mwaka huu... Wewe ulishaenda huko?
Nimetokea kuvutiwa/kunogewa sana na hii style mpya ya harmonize ya kukohoa kohoa kwenye beat wakati akiwa anaimba, kweli huyu jamaa ni teacher kama anavojiita.
Kudos kwa hilo.
Yaw yaw
Konde booooo
JeshiiiiiiiYaw yaw
Konde boooooiy
Iko wapo hiyo style?Nimetokea kuvutiwa/kunogewa sana na hii style mpya ya Harmonize ya kukohoa kohoa kwenye beat wakati akiwa anaimba, kweli huyu jamaa ni teacher kama anavojiita.
Kudos kwa hilo.
Hawachelewi na vile siku izi domo kila analogusa linaangukia puuuuuuhwcb watamind na hili