Stahili za Mtumishi wa Umma anapohamishwa

JamboJema

JF-Expert Member
Jun 14, 2011
1,143
209
Wadau, naomba kudadavuliwa ni stahili zipi anapaswa kulipwa mtumishi wa serikali anapohamishwa kituo cha kazi. Aidha, nitapenda kujua rates zikovipi.
 
Kama hujaomba uhamisho kuna stahili utapata. Kwa haraka haraka;
1. Usafiri wa mizigo-hii iategemea na cheo chako mf. mimi ni tani 3,kama gari hamnautapewa mileage, sijui kwa sasa ni Tshs ngapi
2. Subsistence allowance equal to your perdiem mf 45,000,65,000 au 85,000 per day kutegemea na mshahara/cheo chako
3. Travel allowance, nadhani ni Tshs 6000 per day kama sikosei
4. Utpewa amount sawa na mke (if married) na mtoto unapewa nusu (uhalali unanitia shaka)
5. ......................
6.........................
NB. Tafuta Standing Orders of Public Service pamoja na Policy za hiyo Institution ambapo unafanyia mkuu zitakusaidia kujua haki zako maana hawa ma HR wetu siku hizi bogus kabisa (wengi wao), anaweza kukunyima stahili zako kwa kutozijua.
 
1. Utasafirishiwa Mizigo, kama wapokea mshahara kuanzia ngazi ya C kwenda Juu ni tani3. Kama ofisi yako haitakupa usafiri itabidi wakulipie gharama ya tani 3 mara Tsh 1000 mara umbali {kwa kilometa}
2. Utalipwa subsistance allowance sawa na perdiem yako kwa siku 7 wewe na mwenza wako, na kama una watoto na wategemezi watalipwa nusu yake. {Hapa ni watoto wako wote ambao ulikuwa unaishi nao huko ulipotoka hata kama ni zaidi ya wa4}
3. Utalipwa disturbance allowance {Hapa rates zinatofautiana, kwa watumishi wa serikali kuu ni Gross Salary ya mwezi mmoja ila wale wa Local gov wana formular yao}
Kumbuka stahili hizi ni kwa uhamisho unaohusu kuhamisha mizigo, na uhamisho huo uwe si wa kuomba au kama umeomba na ukameet vigezo vya kulipwa basi uwe umepata uthibitisho wa kugharamiwa either na former or new employer kabla hujahama.
 
Kama hujaomba uhamisho kuna stahili utapata. Kwa haraka haraka;
1. Usafiri wa mizigo-hii iategemea na cheo chako mf. mimi ni tani 3,kama gari hamnautapewa mileage, sijui kwa sasa ni Tshs ngapi
2. Subsistence allowance equal to your perdiem mf 45,000,65,000 au 85,000 per day kutegemea na mshahara/cheo chako
3. Travel allowance, nadhani ni Tshs 6000 per day kama sikosei
4. Utpewa amount sawa na mke (if married) na mtoto unapewa nusu (uhalali unanitia shaka)
5. ......................
6.........................
NB. Tafuta Standing Orders of Public Service pamoja na Policy za hiyo Institution ambapo unafanyia mkuu zitakusaidia kujua haki zako maana hawa ma HR wetu siku hizi bogus kabisa (wengi wao), anaweza kukunyima stahili zako kwa kutozijua.

Pia kuna
Disturbance allowance ambayo Ni 10% of your gross annual salaries

Pia **** On transit allowance ambapo Kama Safari yako Ni ya Zaid ya Saa 6

Uhamisho wa Kituo Cha Kazi ili ilipwe lazima uwe Ni umbali wa kuweza kuhama

Kama Siku hizi unahamishwa kutoa Ofisi ya Rais Utumish kwenda Wizara ya Elimu Distance yake Ni ndogo sana Kwa Kuwa zote zipo ndani ya Udom hapo sahau kupokea Pesa
 
1. Utasafirishiwa Mizigo, kama wapokea mshahara kuanzia ngazi ya C kwenda Juu ni tani3. Kama ofisi yako haitakupa usafiri itabidi wakulipie gharama ya tani 3 mara Tsh 1000 mara umbali {kwa kilometa}
2. Utalipwa subsistance allowance sawa na perdiem yako kwa siku 7 wewe na mwenza wako, na kama una watoto na wategemezi watalipwa nusu yake. {Hapa ni watoto wako wote ambao ulikuwa unaishi nao huko ulipotoka hata kama ni zaidi ya wa4}
3. Utalipwa disturbance allowance {Hapa rates zinatofautiana, kwa watumishi wa serikali kuu ni Gross Salary ya mwezi mmoja ila wale wa Local gov wana formular yao}
Kumbuka stahili hizi ni kwa uhamisho unaohusu kuhamisha mizigo, na uhamisho huo uwe si wa kuomba au kama umeomba na ukameet vigezo vya kulipwa basi uwe umepata uthibitisho wa kugharamiwa either na former or new employer kabla hujahama.
Kuna utata pia kwenye substance allowance walio wengi wanalipwa kwa siku 14. na hii inategemea scale ya mshahara wa mtu na sehemu anakohamishiwa hivyo kuna utofauti kati ya miji(halmashauri) kijijini (miji mingine wao wanaita hivyo) jiji na manispaa rate zinalingana. Kuhusu disturbance allowance kwa LGA wanatumia formula hii {gross salary X1/10 X12}. Unaweza kulipwa uhamisho kama umeomba ikiwa umekaa kituo kimoja cha kazi kwa miaka mitano ingawa hii inategemea na mwajiri wako ila standing order inaelekeza hivyo. Ila vyote hivi omba mkuuwa idara asiwe mtu wa roho ya kutu maana mikuu mingine ya idara ni manoko kama nini hasa anapoona ailyeko chini yake anaelekea kupokea mshiko ambao yeye hauingii mfukoni mwake
 
Kuna utata pia kwenye substance allowance walio wengi wanalipwa kwa siku 14. na hii inategemea scale ya mshahara wa mtu na sehemu anakohamishiwa hivyo kuna utofauti kati ya miji(halmashauri) kijijini (miji mingine wao wanaita hivyo) jiji na manispaa rate zinalingana. Kuhusu disturbance allowance kwa LGA wanatumia formula hii {gross salary X1/10 X12}. Unaweza kulipwa uhamisho kama umeomba ikiwa umekaa kituo kimoja cha kazi kwa miaka mitano ingawa hii inategemea na mwajiri wako ila standing order inaelekeza hivyo. Ila vyote hivi omba mkuuwa idara asiwe mtu wa roho ya kutu maana mikuu mingine ya idara ni manoko kama nini hasa anapoona ailyeko chini yake anaelekea kupokea mshiko ambao yeye hauingii mfukoni mwake
Kumbe ni utashi wa mkuu wa idara? Kwani serikali haijaweka utaratibu na kuufafanua...???
 
Kwa yeyote anayeweza kushughulikia / kunisaidia kuhama naomba ani PM tuyajenge. Najua Mkono mtupu haulambwi
 
Back
Top Bottom