Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Stahili za Waheshimiwa Wabunge ni zifuatazo:
i) Mshahara wa Mbunge
· Gross Salary - Sh. 2,305,000/=
· Kodi - Sh. 588,000/=
Net Salary - Sh. 1,717,000/=
ii) Posho ya Ubunge; (MP Constituency Allowance)
iii) Posho ya Vikao vya Bunge na Kamati zake;
iv) Posho ya Madaraka kwa Viongozi;
v) Entertainment Allowance kwa Viongozi;
vi) Posho ya Kujikimu ndani na nje ya Nchi;
vii) Posho ya Mavazi anaposafiri nje ya Tanzania;
viii) Posho ya Msaidizi wa ofisi ya Mbunge;
ix) Posho ya Usafiri wakati wa Vikao vya Kamati na Mikutano ya Bunge;
· Vilevile, kuna Posho ya Mafuta (Lita 1,000) kwa mwezi na Mfuko wa Maendeleo wa Jimbo
i) Mshahara wa Mbunge
· Gross Salary - Sh. 2,305,000/=
· Kodi - Sh. 588,000/=
Net Salary - Sh. 1,717,000/=
ii) Posho ya Ubunge; (MP Constituency Allowance)
iii) Posho ya Vikao vya Bunge na Kamati zake;
iv) Posho ya Madaraka kwa Viongozi;
v) Entertainment Allowance kwa Viongozi;
vi) Posho ya Kujikimu ndani na nje ya Nchi;
vii) Posho ya Mavazi anaposafiri nje ya Tanzania;
viii) Posho ya Msaidizi wa ofisi ya Mbunge;
ix) Posho ya Usafiri wakati wa Vikao vya Kamati na Mikutano ya Bunge;
· Vilevile, kuna Posho ya Mafuta (Lita 1,000) kwa mwezi na Mfuko wa Maendeleo wa Jimbo