Wewe unasema wangetoa droo, huwajui vizuri Hawa. Yaani hata wangefungwa 2 tungelala siku nzima ya Leo mana tusingekubali kuonana nao mtaani.Tunawajua mlivyo, jana mngetoa hata droo tu tusingepumua....poleni! Jipangeni upya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kocha hapo, wajanja wamepiga chao wamesepa.View attachment 1000289.
Kocha wa AS Vita akimfariji Uchebe ,poleni sana Feb 1 tena Misri ,huko mkakaze viuno la sivyo mnaweza mkala wiki
Nyie kwani mmeshaupata huo ubingwaaa??😂😂😂.....na wewe Malindi unawakumbuka????
Weka na hii kama we ni mtu wa record kweli😂😂😂
Jana ilikuwa siku ngumu kwa watanzania wote kwa matokeo ya Congo kasoro wewe tuMtani pole kwa kipigo cha jana........ukiitaja Yanga roho yako kwatu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati anamfunga Nkana na Mwarabu wa Pemba alikuwa Bonge la kocha
Nimecheka sana hapo 1991 mpaka halftime 4 bila then wakaona isiwe nongwa wakatia mpira kwapani
Tulia mkuuNimecheka sana hapo 1991 mpaka halftime 4 bila then wakaona isiwe nongwa wakatia mpira kwapani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ndo mbumbumbu aka bungusilo yaani waligoma kabisa kuendelea na mchezoNimecheka sana hapo 1991 mpaka halftime 4 bila then wakaona isiwe nongwa wakatia mpira kwapani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ijayo acheze Munishi Itapendeza pale goliniLeo tunashuka dimbani kucheza mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita Club.
View attachment 999209
Kikosi cha akiba cha Simba
1. Deogratius Munish
2.Paul Bukaba
3.Moahamed Ibrahim
4.Haruna Niyonzima
5. Hassan Dilunga
6. Rashid Juma
7. Shiza Kichuya
Hiki ndio kikosi cha mauaji kitakachoshuka dimbani leo kufanya mauaji
========
Timu ya Simba imepoteza mchezo wake wa pili hatua ya makundi baada ya kukubali kipigo cha mabao 5-0 dhidi ya AS Vita.
Mabao ya mapema ya AS Vita yaliwekwa dakika ya Makusi 14' Bpunga 18 na Fabrice Ngoma 45 kipindi cha kwanza.
Mabao mawili ya AS Vita yaliwekwa wavuni kipindi cha pili huku wakionekana kulifikia lango la Simba mara kwa mara.
Mchezo huo ulionekana mkali huku Paschal Wawa na Jonas Mkude wakipewa kadi za njano.
Kocha wa Simba Patrick Aussems alimtoa Cleoutus Chama na nafasi yake kuchukuliwa na Dilunga dakika ya 61.
Katika Kundi D, AS Vita ipo nafasi ya pili ikiwa na alama 3 huku ikifuatiwa na Simba yenye alama 3 ikizidiwa mabao ya kufunga na kufungwa.
Baada ya mechi ya AS Vita vs Simba kumalizika, nilikutana na kocha msaidizi wa Vita Raoul Shungu ambaye si mgeni kwa watanzania kwa sababu aliwahi kufundisha Yanga.
Shungu amezungumzia mambo mengi kuhusu mchezo wao dhidi ya Simba, amesema kuwa waliangalia mechi kadhaa za Simba na kubaini mapungufu ambayo wameyatumia na kupata ushindi.
“Simba ni timu nzuri lakini wanacheza mpira ambao sio wa kasi, wanapiga pasi ambazo kwenye mashindano hazina faida, wanapoteza muda mwingi kupiga pasi za hapa na pale badala ya kwenda mbele kutafuta nafasi. Sisi tunarudi nyuma tukipata mpira tunacheza kwa speed.”
Shungu amesema katika kipindi chote alichofundiaha Yanga, alishinda mechi zote alizokutana na Simba.
Nyie kwani mmeshaupata huo ubingwaaa??😂😂😂.....na wewe Malindi unawakumbuka????
eti kasoro mimi tu......tehtehteh... Ya Shinyanga yalipozwa na ya CongoJana ilikuwa siku ngumu kwa watanzania wote kwa matokeo ya Congo kasoro wewe tu
Hivi shinyanga kilitokea nin?
ram
Sent using Jamii Forums mobile app
Maumivu Yana substitute?eti kasoro mimi tu......tehtehteh... Ya Shinyanga yalipozwa na ya Congo
Nimeisha poa kwema lakini huko?
Sasa na sisi kwani tungechukua FA tungeenda kucheza mechi gani za kimataifa zaidi ya tunazozicheza leo....kumbe issue ni kucheza mechi za kimataifa...mbona ndo wenzenu tunazicheza sahv...izo anga za kimataifa mnazotafuta kwenda ndo wenzenu tupo sahvTungemfunga malindi tungeenda kucheza mechi gani ya kimataifa? Ubingwa wa FA na ubingwa wa ligi kuu ndio unaoipeleka timu anga za kimataifa
hapahapa bongo_tz mkuumkuu hivi ulikuwaga wapi?
kwa style hii acha tu nizeeke na hayo maandazi niyanywee chai tu....Unazeeka sasa na unaanza kupungukiwa akili, simba sc inawakilisha Taifa acha umaandazi!