networker
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 570
- 215
St marygoreti ni kati ya shule zinazo sifika kwa wanafunzi wake kufahulu vizuri nawasifu kwa hilo.ila shule hii pia imesifika kwa kuwa ya wasichana pekee hadi walipo amua kuanzisha wavulana miaka ya karibuni na baadae kufuta udaili wa wavulana na kubaki wasichana pekee yao.shule hii ukifuatilia udaili kwa ajili ya wavulana watakuambia "hatufanyi udaili kwa wavulana tulisha acha kuchukuwa wavulana" hili nili liskia kwa maskio yangu mwenyewe bada ya kuwapigia simu shuleni hapo na kuongea na sista wa kidini aliye mapokezi shulei hapo mwaka huu nimefanaya utafiti usio rasmi juu ya shule hii kwa kutaka kujiunga kama mwanafunzi wa form 5 nika pewa jibu hilo hapo juu lakini chakushangaza kuna wavulana walio dailiwa kwa njia ambazo hazijaeleweka kumi na... lakini hawazidi 20 kwa form 5 mwaka huu .kwa mujibu wa respondents wa utafiti huu wame indicate kwamba wengi wame ingia kwanjia ya kujuana na undugu.je hawa wavulana kumi na... wametoka wapi wakati walisha acha kupokea wavulana