St MaryGoreti (Moshi) na utata wa udaili wa wavulana form 5 wahusika mwalifahamu hili

networker

JF-Expert Member
Apr 23, 2011
570
215
St marygoreti ni kati ya shule zinazo sifika kwa wanafunzi wake kufahulu vizuri nawasifu kwa hilo.ila shule hii pia imesifika kwa kuwa ya wasichana pekee hadi walipo amua kuanzisha wavulana miaka ya karibuni na baadae kufuta udaili wa wavulana na kubaki wasichana pekee yao.shule hii ukifuatilia udaili kwa ajili ya wavulana watakuambia "hatufanyi udaili kwa wavulana tulisha acha kuchukuwa wavulana" hili nili liskia kwa maskio yangu mwenyewe bada ya kuwapigia simu shuleni hapo na kuongea na sista wa kidini aliye mapokezi shulei hapo mwaka huu nimefanaya utafiti usio rasmi juu ya shule hii kwa kutaka kujiunga kama mwanafunzi wa form 5 nika pewa jibu hilo hapo juu lakini chakushangaza kuna wavulana walio dailiwa kwa njia ambazo hazijaeleweka kumi na... lakini hawazidi 20 kwa form 5 mwaka huu .kwa mujibu wa respondents wa utafiti huu wame indicate kwamba wengi wame ingia kwanjia ya kujuana na undugu.je hawa wavulana kumi na... wametoka wapi wakati walisha acha kupokea wavulana
 
Wanachukua wavulana wachache wanaojua hawana effect kwa watoto wao wa kike, dat minz mpka wawe wanajua bakgrand yao
 
ı thınk thıs wıll brıng effect on those boys..nahıc watakuwa na swaga za kıke coz ndo mazıngıra walonayo
 
st. halafu hawapo transparent? pole ndugu, achana nao, skuli zipo bwerere tu
 
Back
Top Bottom