St Joseph College of Engineering

FredKavishe

JF-Expert Member
Dec 4, 2010
1,090
318
Nahisi mtakua mnakisikia au kikujua naombeni ushauri wenu kile chuo ni kizuri au magumashi na-take comp scnc Eng.
 
Fafanua uzuri unaoumaanisha! Majengo? Maabara,workshops na vifaa? Malazi? Wanafunzi? Wakufunzi? Uelewa na ufahamu wa wakufunzi? Chakula?
 
Wakuu pale pazuri ila nasikia kama msuli unalegalega unaweza usimalize pale. Nasikia ni kama mzumbe ya zaman kwa ktabu kgumu,au DIT na IFM ya leo. Wanaanza wanachuo 1500 kama Uhasibu pale IFM wanahitimu 435 kama ilivokuwa mwaka huu ktk kozi ya uhasibu. Ukiitaka St.joseph uwe tayari kusoma mkuu!
 
Uzuri wake si rahisi sana kuujua. Utaujua baada ya miaka 20 toka umalize chuo. Tatizo la private school hamjalijua, HaWapo for your future wapo kwajili ya pesa kwanza. Nimeongea na wanafunzi wengi wa st joseph wanaosoma it, ni wazuri lakini still kuna mambo mengi wanamiss.
 
Pako poa sana pindi saa mbili mpaka saa kumi jioni'ada kubwa lakni education wanayotoa ni nzuri huwez kukacha pindi atendance inatakwa kuwa above 85 ndo utafanya modal examz'library imeshba kidogo kuna jamaa kutoka udsm wanataia kambi kusoma vitabu
 
Wakuu pale pazuri ila nasikia kama msuli unalegalega unaweza usimalize pale. Nasikia ni kama mzumbe ya zaman kwa ktabu kgumu,au DIT na IFM ya leo. Wanaanza wanachuo 1500 kama Uhasibu pale IFM wanahitimu 435 kama ilivokuwa mwaka huu ktk kozi ya uhasibu. Ukiitaka St.joseph uwe tayari kusoma mkuu!

niko tayari kupambana kwa ajali ya taifa hakuna mtu atakupa technology watatupatia vitu kdogo inabdi tuwe wabunifu wakuu
 
Pako poa sana pindi saa mbili mpaka saa kumi jioni'ada kubwa lakni education wanayotoa ni nzuri huwez kukacha pindi atendance inatakwa kuwa above 85 ndo utafanya modal examz'library imeshba kidogo kuna jamaa kutoka udsm wanataia kambi kusoma vitabu

Bw Majanikv, wewe si ndiye uliyeuliza swali kuhusu St Joseph whether ni kizuri au laa, halafu wewe mwenyewe ndiye mchangiaji mkuuu kuwa chuo kipo poa . je ulitaka kupata ushauri au kutueleza kuwa chuo kipo poa. A ndo kukirusha chuo hicho? Nakifahamu kiasi chuo hizo, lab nzuri, library yake ni ya kawaida kabisa na walimu wake michosho sana ( vilaza)
 
Bw Majanikv, wewe si ndiye uliyeuliza swali kuhusu St Joseph whether ni kizuri au laa, halafu wewe mwenyewe ndiye mchangiaji mkuuu kuwa chuo kipo poa . je ulitaka kupata ushauri au kutueleza kuwa chuo kipo poa. A ndo kukirusha chuo hicho? Nakifahamu kiasi chuo hizo, lab nzuri, library yake ni ya kawaida kabisa na walimu wake michosho sana ( vilaza)

nilitaka kupata ushauri na kutoa mambo ambayo nimeyaona ndani ya mwenzi mmoja ndugu kujenga hoja inabidi upime joto kwanza tht y nikapima joto na mimi nikajazia pale vijimaoni ndugu'ckuwa na nia ya kukisifia kama ww unavyodhani kwa walimu tatzo naloliona lugha coz english yao iko differ na ya kwetu kimatamshi ndugu so huwez kusema ni vilaza ina maana hawana hata knowlegde kchwani hapana ndugu badili maneno kidogo tatizo la pale ni comunication tu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom