Ndugu wana JF nimepata taarifa chuo kikuu cha st.john kimefungwa ghafla baada ya wan. kushinikiza walipewe pesa zao za kujikimu. Kwa taarifa iliyotolewa hapo kinasema wanafunzi wanaoishi hosteli wamepewa masaa manne waondoke ndani ya mabweni. had i tarehe 2.