SSRA wazuia ku-withdraw mafao PPF kimya kimya

WAKUU NIMEPONEA KWENYE TUNDU LA SINDANO NIMEPATA HELA YANGU THANKS GOD DUHH SIAMINI
 
Ni PPF peke yake, wengine wanaendelea kutoa pesa kama kawaida.
Najutaaaaaaaa kwann nilichagua mwajili wangu aniweke pesa zangu kwenye hili limfuko la laana PPF. hata nikiona majengo yao ya PPF hua nakasilika sana. Si mshauri mtu anayeanza kazi kujiunga n mfuko huu wa kifilauni
 
RAISI WENU MLIYEMCHAGUA NDIYE ALIYETANGAZA KUWA HAKUNA KUCHUKUA HELA KWENYE MIFUKO YA JAMII KAMA HAUJAFIKIA UMRI WA KUSTAAFU
hapa kazi tu!
 
KWA KWELI WAKUU NAWEZA KUSEMA NILIPONEA KWELI KWENYE TUNDU LA SINDANO MAANA FOMU NILIPELEKA TAREHE 12 NA MWISHO WA KULIPA NI FOM ZILIZOPOKELEWA KUANZIA TAREHE 11 KUSHUKA...DAAH YAAANI JUZI NIMEENDA PALE KAMA KUCHEKI BAHATI NASIBU YANI ACHA TU NIMEKUTA CHEKI YANGU IMETOLEWA HATA SIKUAMINI YANI DAH
 
Mrejesho!

Nilirudisha fomu zangu tar 16/5/2016 a week later nikasikia wamefunga milango tangu tar 11/09/2016 niliporudi tarahe walioniamba nirudi nikaambiwa kuwa kwa kuwa fomu yangu ilipokelewa baada ya deadline na haitashughulikiwa, hivyo wataniandikia barua. What I told them ni kuwa waharakishe kuniandikia maana nihitaji barua sana.

Nikapiga sim Customer Care wakaniambia nipige 6 days later kwa ajili ya mrejesho. nikapiga tene sim FFF HQ wakaniambia fomu zangu hazitaweza kufanyiwa kazi. (Nikagundua hawana coordination juu ya suala hili, kila mtu ana jibu lake). Nikaamua kuwa mpole mpaka tarehe waliyoniambia customer care niulizie, nikawapigia wakaniambia tayari faili kangu liko uhasibu na huenda hundi ikawa tayari kesho yake (yaani alhamisi ya wiki iliyopita) na kupata fedha zangu Jumatatu leo (06/6/2016). Nilipoangalia salio Jumamosi asubuhi nikafikiri account imekosewa kwa kuona tarakimu zimebadilika tayari. Plus interest ya 16%. Thank God nimepata changu.

Nilijifunza kuwa baada ya kuwa wamepokea fomu zote nadhani wanataka kufanya malipo kwa fomu zote zilizo mikononi mwao halafu waendelee na msimamo ili kuondoa possible legal conflicts, Hawakuwa wamejiandaa juu ya suala hili (taarifa ziliwafikia watu wa matawi late) kama ni kweli wana mpangi wa kuzuiya fao hili, kingine ni kuwa Kama ulijiandikisha kwa mfumo wa DAS, una haki ya kupata fedha zako, kwani mfumo huu ni kwa wale walio na umri zaidi ya 45 wakati unajiunga au foreigners!. so kuna baadhi yetu tulisajiliwa katika Mfumo huo na tukawa tuna Haki ya kujitoa na hata wewe unahaki ya kujitoa.... wakikunyima Fomu fomu zipo kwenye mtandao (Hizi hapa http://www.ppftz.org/home/common/uploads/forms/withdrawal.pdf

Kila la Heri
 
Heeee inabisi ipelekwa bungeni haraka sana!! Haiwezekani...na haitawezekana!! Hela zetu lazima zitolewe!! Hakuna jinsi watu wanaachishw kazi kila siku wanategemea nini?? Wataishije? Na hawajafika umri au muda wa kuwa pensionable?? Haiwezekaniii[/QUOTE

Bunge utamkuba BIBI BOMBA siamini kama Hoja yako itakubalika.....Chamuhimu nikuisoma namba tu!
 
Mrejesho!

Nilirudisha fomu zangu tar 16/5/2016 a week later nikasikia wamefunga milango tangu tar 11/09/2016 niliporudi tarahe walioniamba nirudi nikaambiwa kuwa kwa kuwa fomu yangu ilipokelewa baada ya deadline na haitashughulikiwa, hivyo wataniandikia barua. What I told them ni kuwa waharakishe kuniandikia maana nihitaji barua sana.

Nikapiga sim Customer Care wakaniambia nipige 6 days later kwa ajili ya mrejesho. nikapiga tene sim FFF HQ wakaniambia fomu zangu hazitaweza kufanyiwa kazi. (Nikagundua hawana coordination juu ya suala hili, kila mtu ana jibu lake). Nikaamua kuwa mpole mpaka tarehe waliyoniambia customer care niulizie, nikawapigia wakaniambia tayari faili kangu liko uhasibu na huenda hundi ikawa tayari kesho yake (yaani alhamisi ya wiki iliyopita) na kupata fedha zangu Jumatatu leo (06/6/2016). Nilipoangalia salio Jumamosi asubuhi nikafikiri account imekosewa kwa kuona tarakimu zimebadilika tayari. Plus interest ya 16%. Thank God nimepata changu.

Nilijifunza kuwa baada ya kuwa wamepokea fomu zote nadhani wanataka kufanya malipo kwa fomu zote zilizo mikononi mwao halafu waendelee na msimamo ili kuondoa possible legal conflicts, Hawakuwa wamejiandaa juu ya suala hili (taarifa ziliwafikia watu wa matawi late) kama ni kweli wana mpangi wa kuzuiya fao hili, kingine ni kuwa Kama ulijiandikisha kwa mfumo wa DAS, una haki ya kupata fedha zako, kwani mfumo huu ni kwa wale walio na umri zaidi ya 45 wakati unajiunga au foreigners!. so kuna baadhi yetu tulisajiliwa katika Mfumo huo na tukawa tuna Haki ya kujitoa na hata wewe unahaki ya kujitoa.... wakikunyima Fomu fomu zipo kwenye mtandao (Hizi hapa http://www.ppftz.org/home/common/uploads/forms/withdrawal.pdf

Kila la Heri
Mfumo wa DAS ndio upi!?
 
Kwenye kujiandikisha kundikisha kuna mfumo wa
TRADITION Scheme:

This is a mandatory and basic scheme which operates under clearly defined criteria for the guaranteeing and awarding of benefits to members as stipulated in the Act. It covers by law all workers employed in the following sectors: All parastatal organizations and public institutions. All private companies in which the government own shares Registered private companies that are not covered by any other social security fund. All parastatal organizations which have been restructured through privatization, sale, lease or liquidation.

and DAS -Deposit Administration Scheme

This is a mandatory and basic scheme, which covers employees who do not qualify for membership into the traditional pensions scheme, for example; all workers who get into employment when they are above the age of 45 years, expatriates, self-employed people or any other person with seasonal income.

It is also designed to serve as a supplementary scheme for all members who are covered under the Traditional pension scheme, or any other mandatory scheme in any social security fund.

Mfumo wa DAS ndio upi!?
 
Tuko on fire na watu wanashindwa kuzima moto na dawa ya moto ni moto na dawa ya moto ni moto, si unajua ni noma sana. Tunatafuta maisha katka kipindi kibaya kitu chochote kischokuwa wewe kinataka kukuuua aisee nchi yangu.
 
Inachanganya sana! kwa hiyo tuseme wote ambao form zao zimeokelewa wamelipwa!!! Naomba ufafanuzi kidogo. Je wale ambao twaweza fukuzwa au achishwa kazi leo hayo mafao itakuwaje!!??? Trade union na wabunge wote tunaomba msaada wenu ingawa nyie wabunge ni miaka mitano na kmgongo kikubwa!!!
 
Mrejesho!

Nilirudisha fomu zangu tar 16/5/2016 a week later nikasikia wamefunga milango tangu tar 11/09/2016 niliporudi tarahe walioniamba nirudi nikaambiwa kuwa kwa kuwa fomu yangu ilipokelewa baada ya deadline na haitashughulikiwa, hivyo wataniandikia barua. What I told them ni kuwa waharakishe kuniandikia maana nihitaji barua sana.

Nikapiga sim Customer Care wakaniambia nipige 6 days later kwa ajili ya mrejesho. nikapiga tene sim FFF HQ wakaniambia fomu zangu hazitaweza kufanyiwa kazi. (Nikagundua hawana coordination juu ya suala hili, kila mtu ana jibu lake). Nikaamua kuwa mpole mpaka tarehe waliyoniambia customer care niulizie, nikawapigia wakaniambia tayari faili kangu liko uhasibu na huenda hundi ikawa tayari kesho yake (yaani alhamisi ya wiki iliyopita) na kupata fedha zangu Jumatatu leo (06/6/2016). Nilipoangalia salio Jumamosi asubuhi nikafikiri account imekosewa kwa kuona tarakimu zimebadilika tayari. Plus interest ya 16%. Thank God nimepata changu.

Nilijifunza kuwa baada ya kuwa wamepokea fomu zote nadhani wanataka kufanya malipo kwa fomu zote zilizo mikononi mwao halafu waendelee na msimamo ili kuondoa possible legal conflicts, Hawakuwa wamejiandaa juu ya suala hili (taarifa ziliwafikia watu wa matawi late) kama ni kweli wana mpangi wa kuzuiya fao hili, kingine ni kuwa Kama ulijiandikisha kwa mfumo wa DAS, una haki ya kupata fedha zako, kwani mfumo huu ni kwa wale walio na umri zaidi ya 45 wakati unajiunga au foreigners!. so kuna baadhi yetu tulisajiliwa katika Mfumo huo na tukawa tuna Haki ya kujitoa na hata wewe unahaki ya kujitoa.... wakikunyima Fomu fomu zipo kwenye mtandao (Hizi hapa http://www.ppftz.org/home/common/uploads/forms/withdrawal.pdf

Kila la Heri
Haaaaaa hongera aisee kwahiyo na mimi naweza jaza form zangu nikapeleka kibabe? Wasipopoppkea unawaachia kwa nguvu ehee naombeni ushauri hapo
 
Pia GEPF wameanza huo mchezo, watanzania tushikamane katika hili.
Mana haiwezekani watu wakachezea jasho la mtu kirahisi namna hiyo.
Tunamuomba Rais afatilie utendaji wa hii mifuko pia SSRA.
Mana ni kama wanapima upepo kwa michezo yao michafu wanayotaka kuanza.

Atafuatilia vp wakat anahamasisha wamjengee madaraja hili ni tatizo kubwa sana na ukitegemea watu wanaachishwa kaz hovyo tu
 
Ni kweli nimepiga call center ya PPF wanasema ni kweli....hawana taarifa rasmi kwa sasa....!! Ila wamesitisha!!hii vita mpya wanaianzisha na wastaafu....na waliopunguzwa makazini! Sasa watajiajirije?? Hela zinapotea bure? Wame inevst miradi hew sasa wanaadhibu wanachama!! Hapana haiwezekani!!!!au ndio wanahamisha attention ili Lugumi ipite??
Hao jamaa kweli wamebugi saana najaribu tazama uwekezaji wa majengo mjini Arusha pana tower mbili za NSSF hadi leo wapangaji bado wa kusuasua...almost 70% ya jengo lipo tupu...
 
Haaaaaa hongera aisee kwahiyo na mimi naweza jaza form zangu nikapeleka kibabe? Wasipopoppkea unawaachia kwa nguvu ehee naombeni ushauri hapo
yes! my colleague alofanya hivyo akalipwa on the same day na mm tena yeye alipeleka tar 25
 
Kuna Mrejesho wowote Wakuu? Binafsi kesho ntaamkia Ofisi za PPF Northern Zone hapa Arusha kufuatilia kwa kina yepi yanajiri.... Alamsik
Ebwana Vp Ulivyofwatilia Mkuu imekuaje maana me pia Nawadai hawa Wadhulumishi Haki Yangu Nimefanya kazi miaka 4 nimeenda pale wanasema mpaka nizeeke washenzi kwl hawa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom