Hakuna kitu kama hicho... Huo ni uzushiWhat??? ina mana wanalipa 50bil kwa mwezi? huu ni wizi mkubwa sana kuwahi kutokea, CAG asogeee hapo haraka sana, hili jipu haliitaji kutumbuliwa bali kukata kiungo kizima.
Hebu tusubiri labda watakanusha! Nani anamiliki hayo majengo?Jamani labda gazeti ndio limekosea , mimi nimetoa chanzo waulize Mtanzania
Duh pole mkuu hata mabasi ya mikoani hayafiki huko? Rufiji kisiwani?Mkuu wengine tupo huku ambako magezeti ya siku nne ndo yanafika leo, huku kijijini kwetu leo ndo tunasoma "raisi aanza mapunziko chato".