moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,686
- 16,393
SQUAD GAMES pia hata sie tumeicheza sana utotoni,mambo haya watoto wa Jakaya hawayajui.Daah yani watu wanaifananisha money heist na series wale walamba kashata za sukari pamoja na kucheza goroli???
Squid Game imepewa ujiko usioendana nayo aseee
Kweli utakuwa huna akiliMimi hata huwa siwaelewi na hilo likitu lenu, naona linatajwa sana siku hizi...
Basi walioangalia hiyo kitu wanajikuta na kujiona wao ndo wana akili saana kuliko sisi
La casa de papel....hii nliikubali sema mwisho Tokyo alivo kufa aaah nkaichukia tLa casa
Ata Mimi huyu mama nlimkubali Sana ameitendea haki ile nafasiNilisikitika kale kadada kufa vile alikuwa amemuahidi maisha mazuri mdogo wake,
Lakini nimeipenda character ya yule Mama mkorofi anayekataa kuitwa Mama anataka aitwe mtoto kwa kweli anastahili tuzo ameitendea haki sana ile character na alinifurahisha alivyodondoka na yule jamaa katili wakafa wote,
Main character historia yake ilikua inasisimua lakini nimesikitika Mama yake hakuweza kuona matunda ya mwanae na vile alivyoona pesa si kitu kama hana furaha akagoma kuchukua pesa alizoshinda,
Wakorea hua wana story nzuri sana nawapenda kwa hilo, natumaini Season 2 itakua bora zaidi.
PS: Mtu kuifananisha Squid Game na Money Heist ni uzuzu wa hali ya juu sababu ni story mbili tofautiii,
SG ifananishwe na SAW na kweli story zimefanana lakini SG naipa kongole zaidi sababu watu walienda kwenye Game wenyewe hawakulazimishwa.
Nitaipata wapi iliyowekwa maneno ya Afrosasa ipate iliyowekewa maneno na dj afro