jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,482
- 21,480
Nitakwenda na kuileta ile hotuba ya Mbeki pale mlimani alipoweka wazi kuwa matatizo ya Afrika yanasababishwa na wale wenye ELIMU!
Kauli ya MBEKI ni NZITO na ya kutafakari kwani alipoitowa pale mlimani kwa masaa mawili mfululizo bila kupumzika alionyesha kukerwa sana na mikataba ambayo tumeingia na MAKABURU wa nchini mwake ambao hata sisi tuliwasaidia kumpinga na kumwondoa madarakani.
NI WAZI KUWA MADAI YAKE NI YA WAZI KUWA UMASIKINI WETU NA UFUKARA,MAGONJWA NA NJAA VIMESABABISHWA NA WENYE ELIMU.
Sasa naomba tuanze na mjadala huu...JE ELIMU NI NINI?
Kauli ya MBEKI ni NZITO na ya kutafakari kwani alipoitowa pale mlimani kwa masaa mawili mfululizo bila kupumzika alionyesha kukerwa sana na mikataba ambayo tumeingia na MAKABURU wa nchini mwake ambao hata sisi tuliwasaidia kumpinga na kumwondoa madarakani.
NI WAZI KUWA MADAI YAKE NI YA WAZI KUWA UMASIKINI WETU NA UFUKARA,MAGONJWA NA NJAA VIMESABABISHWA NA WENYE ELIMU.
Sasa naomba tuanze na mjadala huu...JE ELIMU NI NINI?