dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,124
- 49,380
... Wakati shitholes mwalimu anarithiwa na mwanafunzi dhaifu kulinda legacy; kwa wenzetu it's a prestige kuwa succeeded na mwanafunzi aliyeiva kuliko wewe mwalimu wake. Kwa utaratibu huu kwanini wasitoboe?Anabaki mshauri tu wenzetu wanafanya succession plan kwa vitendo mpaka anaamua kuondoka anajua kijana wake kaiva kwelikweli
Joshua mwanafunzi wa Musa na Haruni alikuwa master kuliko walimu wake. Elisha alikuwa "nuksi" kuliko Elia his teacher. And that culture goes on vizazi kwa vizazi.