Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,028
- 173,689
Napenda hii ila sijui napata wapi originalTry Smart black
Ipo so romantic mpaka unatamani kuila hivi 😘😘😘😋TUMIA DARK FEVER.
NINZURI SANA KILA MTU ATAKUULIZA NA KUKUSIFIA.
MIMI NATUMIA DARK FEVER...NENDA KWENYE DUKA KUBWA LA PERFUME UTAIPATA..
HAIZID 17000
Iko PoaBondage
tafuta spray yaitwa 'every one' iko soft sana tamu balaa mi ni mbovu sana na harufu za ajabu ajabu za mipafyumu na masprei huwa kichwa kinauma sana,ila kwa every one mzee baba nimekaa only buku 3500-5000.kutegemeana na sehemu ulipoKuna Spray nyingine mtu akitumia hadi unaskia kama ubongo una shake kwenye kichwa ina harufu kaliii,
Nataka spray ambayo ni smooooth yaani ukijipulizia husumbui watu wengine walio karibu yako
hii so expensive aiseeAventus
Gentlemen wears expensive cologne always..hii so expensive aisee
hii so expensive aisee