Nilifikiri ni wewwView attachment 503992huyu jamaa kutoka kenya kashinda bil 4.7 kwa kubet, kaweka dau la 2000 za kitanzania afu kuna wajinga wachache wanaponda na kusema eti ni mchezo haramu
US $ 2.2 million wachache wangeangalia kando.Tatizo watu hawapondi betting ila wanaobett haajiamini
Kupata unaibu waziri kwenyewe ni bahati nasibu. Kuna wasomi wangapi hawapati hio nafasi..tena wengine wana vyeti feki na bado wanapiga mzigo..hii ni zaidi ya kubeti..
Mungu hakupanga watu waishi kwa bahati, fikiria wote tukisubiri kubet mabilionea watakuwa wangapi?, Mpango wa MUNGU ni watu wafanyekazi kwa mikono yao naye abariki kazi zao na sio kubashiri.View attachment 503992huyu jamaa kutoka kenya kashinda bil 4.7 kwa kubet, kaweka dau la 2000 za kitanzania afu kuna wajinga wachache wanaponda na kusema eti ni mchezo haramu
Mkuu unatumia njia gani kubet, nami nataka angalau kwa siku niingize hata elf 15-20 tu inanitosha!! Tell meya kaisari mupe na ya Yehova mupe , hii kitu kila wiki nina uhakika wa sio chini ya 200k ya weekend thru betting, yani hio ni given, so mniache
kwani uhalali wa huu mchezo unapatikiana vp??Ni ushindi mzuri lakini hauwezi kutupa uhalali wa mchezo wenyewe. Maana hata majambazi huwa yanapiga hela kinoma lakini bado ujambazi sio kazi halali.
Hongera kwa mshindi!
Unawela 500 timu 30, kwanini usimnunie mhindi??Jidanganyeni, betting ni burudani, betting ni ulevi kama mwingie anayevuta sigara au pombe au anaenunua Malaya, utofauti ni kwamba WA betting anaweza pata faida baada ya ku-stake.
Na uzuri WA Betting si bahaati nasibu kama mnavyojidanganya, u need to know the game, uzijue timu, ujue h2h records, na ujue forms ya players na mwenendo WA ligi husika.........unahitaji akiki, there is no luckness kama kuonesha kekundu na keusi....
Na betting inakuwa burudani unapokuwa umejiwekea kiwango cha kubet kwa Siku...na Sikh zote bet kwa kiwango unachoweza afford kupoteza....
Jadili ujinga na watu hawakosi za supu kupitia betting
kumbe hata wewe umemuona....Huyo dada nae aache ufisi kwa jicho gani hili analomuangalia Mume wa mtu
waambie haoooooooooooooooooooooooooooooooooooo.....AGIZA SUPU NITALIPIA MIMIJidanganyeni, betting ni burudani, betting ni ulevi kama mwingie anayevuta sigara au pombe au anaenunua Malaya, utofauti ni kwamba WA betting anaweza pata faida baada ya ku-stake.
Na uzuri WA Betting si bahaati nasibu kama mnavyojidanganya, u need to know the game, uzijue timu, ujue h2h records, na ujue forms ya players na mwenendo WA ligi husika.........unahitaji akiki, there is no luckness kama kuonesha kekundu na keusi....
Na betting inakuwa burudani unapokuwa umejiwekea kiwango cha kubet kwa Siku...na Sikh zote bet kwa kiwango unachoweza afford kupoteza....
Jadili ujinga na watu hawakosi za supu kupitia betting