DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Nilikua naangalia kipindi cha cha Spora ndani Star television mwendesha kipindi alikuwa anafanya maojihano na mtaalamu wa kupiga picha za magazeti na blog Muhidin Issa Michuzi.
Mwandishi alikuwa anamuuliza moja ya maswali yake ni kuhusu kauri zake zinazokuwa zinatumika kwenye blog yake ya Picha.Maneno hayo yanayotumika ni kama Libeneke,Waosha vinywa nk.Katika maojianao haya ilionekana kama mwendesha kipindi ni binti toka uchagani.
Michuzi nae akamuuliza msemo huu wa kuwa "Wachaga ni Wazuri Kwa kusoma Gazeti" je ni kweli?Binti akakauka kicheko kuwa misemo ya Michuzi bado aijui pamoja na kutaka kujua maana ya misemo ya michuzi.
Msaiidieni binti huyo kumjibia swali hilo toka kwa michuzi
Nawasilisha
Mwandishi alikuwa anamuuliza moja ya maswali yake ni kuhusu kauri zake zinazokuwa zinatumika kwenye blog yake ya Picha.Maneno hayo yanayotumika ni kama Libeneke,Waosha vinywa nk.Katika maojianao haya ilionekana kama mwendesha kipindi ni binti toka uchagani.
Michuzi nae akamuuliza msemo huu wa kuwa "Wachaga ni Wazuri Kwa kusoma Gazeti" je ni kweli?Binti akakauka kicheko kuwa misemo ya Michuzi bado aijui pamoja na kutaka kujua maana ya misemo ya michuzi.
Msaiidieni binti huyo kumjibia swali hilo toka kwa michuzi
Nawasilisha