Spika wetu anapotamka 'Sank You' badala ya 'Thank You'

Kwa hali hii bora aongee uswaa tu, ngeli ngumu jamani asikudanganye mtu! Wengine kabla ya kuongea lazima tutafsiri toka kisubi au kisukuma ndo twende kwenye uswaa badae Ngeli sasa mkuu unategemea nini kama si ze yu ze mi. Mwingine atakwambie DONT PULL THE CIGAR. Kwa kiswahili jibu unalo!
 
Wewe unashangaa ya spika tu! Heee! Wagombea je?

Kilichonisikitisha ni uwezo mdogo kabisa kabisa wa wanasiasa hawa kujieleza kwa lugha hiyo maana naamini walijiandaa.

Kumbe tatizo siyo hesabu tu, Nadhani tukiendelea kuwachunguza huenda hakuna kinachoeleweka bungeni.

Sasa naona chanzo cha wakenya kutuburuza huko East Africa Community. Kujieleza ni hivyo, je, ukizuka ubishi itakuwaje?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom