Kama wajumbe STD 7 wamemkataa sembuse bunge lijalo lililosheheni wasomi na wapinzani Akina mdee, haliwezi kuchagua spika mhalifu, ambaye Ana travell ban ya nchi zote za commonwealth Eu na UsaTunakumbushana tu kwa sababu siasa ni sayansi.
Kwa sasa Job Ndugai bado anataka kuendelea kuwa Spika na Dkt. Tulia Ackson anautamani uspika. Ili kuepusha shari CCM ina utamaduni wake kama huujui angalia Dkt. Kigwangalla aliingiaje bungeni kwa mara ya kwanza.
So wale watani zangu wa Ufipa angalieni furaha ya nyani isiishie jangwani mnayedhani mmemuacha Kigamboni mnaweza kumkuta Dodoma amekaa siti ya mbele anaongoza muhimili.
Niwatakie Alhamisi yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!