Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,694
Spika wa Bunge la DRC Jeanine Mabunda ameondolewa katika nafasi yake baada ya wabunge kupiga kura ya maoni dhidi yake iliyowasilishwa bungeni na Upinzani.
Miongini mwa wabunge 484 katika Bunge hilo kura 281 zilisema kwamba kiongozi huyo wa muhimili huyo aondoke katika nafasi yake.
Zaidi ya wanabunge mia mbili kati ya wabunge mia tano waalifanya kikoa cha kupiga kura ya kumuondoa madarakani Spika wa bunge Jeanine Mabunda kutoka chama cha Joseph kabila.
Mwandishi wa BBC, nchini DRC anasema ; Upande wa chama cha Kabila tayari kulikuwa na mzozo katika vyama vilivyokuwa vinamuunga mkono, hivyo hiyo inaweza kuwa sababu ya kuanguka kwao.
Na hatua inayofuata ni waziri mkuu kujiuzulu sasa kwasababu rais atamchagua mtu atakayeunganisha vyama bungeni hivyo nia ya rais kuvunja muungano huo.
Lakini kinachoshangaza inakuwaje spika huyo ashindwe kupata kura za kutosha kumtetea kupata kura za kutosha wakati wabunge wa chama chake ni wengi zaidi.
Kwanini hasa kimesababisha chama cha Rais wa zamani chenye idadi kubwa ya wabunge Bungeni kushindwa kumuunga Mkono Spika huyo wa Bunge?
Miongini mwa wabunge 484 katika Bunge hilo kura 281 zilisema kwamba kiongozi huyo wa muhimili huyo aondoke katika nafasi yake.
Zaidi ya wanabunge mia mbili kati ya wabunge mia tano waalifanya kikoa cha kupiga kura ya kumuondoa madarakani Spika wa bunge Jeanine Mabunda kutoka chama cha Joseph kabila.
Mwandishi wa BBC, nchini DRC anasema ; Upande wa chama cha Kabila tayari kulikuwa na mzozo katika vyama vilivyokuwa vinamuunga mkono, hivyo hiyo inaweza kuwa sababu ya kuanguka kwao.
Na hatua inayofuata ni waziri mkuu kujiuzulu sasa kwasababu rais atamchagua mtu atakayeunganisha vyama bungeni hivyo nia ya rais kuvunja muungano huo.
Lakini kinachoshangaza inakuwaje spika huyo ashindwe kupata kura za kutosha kumtetea kupata kura za kutosha wakati wabunge wa chama chake ni wengi zaidi.
Kwanini hasa kimesababisha chama cha Rais wa zamani chenye idadi kubwa ya wabunge Bungeni kushindwa kumuunga Mkono Spika huyo wa Bunge?
DR Congo parliament ousts pro-Kabila speaker, confirming power shift
The Democratic Republic of Congo's lower house of Parliament voted on Thursday to remove its speaker, handing President Felix Tshisekedi a major victory in his power struggle with predecessor Joseph…
www.france24.com