regam
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 269
- 51
Maji kamwe hayachanganyiki na mafuta, hivyo wote wenye kufuata maslahi yao na watafiki watajiondoa. Kuhama si solution. Theodore aliwahi kusema kuwa " do what you can, with what you have, wherever you are" kwa hiyo kama kweli yeye ishi yake ni mabadiliko haina haja ya kuhama.
Wacha aishie bana! Kwani nini bana!
Wacha aishie bana! Kwani nini bana!