tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Jana nikiwa naangalia taharifa ya habari ITV, Nilimuona spika bwana. Mwangomango akijinadi kujiunga na ccm. Kilichonifanya niandike ni sababu anayoisimamia ya uvuaji gamba<sikufikiria kama mtu mwenye akili timamu anaweza kuingia ktk huu mtego wa kitoto>, cha kushangaza leo kaja na sababu nyingine 1. CDM kumejaa na yeye ni mtendaji, hivyo hatapata nafasi ya kuongea 2. CDM ikivurugika uongoz wa juu, chama chote kimekufa. Lakini kwa walimhoji zaidi, kadai kaaidiwa kulipiwa "school of law", hao ndiyo wasomi wetu