Bobwe2
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 2,463
- 2,339
Maalim alishinda uchaguzi wa tarehe 25Maalim hana chake mpaka sasa alijichanganya sehemu moja tu kukataa kurudia uchaguzi angekua makamu wa rais angekua na nguvu kidogo
the great
Maalim alishinda uchaguzi wa tarehe 25Maalim hana chake mpaka sasa alijichanganya sehemu moja tu kukataa kurudia uchaguzi angekua makamu wa rais angekua na nguvu kidogo
the great
Maalim alishinda uchaguzi wa tarehe 25Maalim hana chake mpaka sasa alijichanganya sehemu moja tu kukataa kurudia uchaguzi angekua makamu wa rais angekua na nguvu kidogo
the great
Hakutumia akili yake au hakuiamini akili yake akachukua ushauri wa chadema huo ndio ukweli japo watu watatukanaHakika kabisa. Ila, hivi alifahaamu mwishilizo wa maamuzi yake? Seif ni mwerevu sana na ni mtu aijuaye kesho yake hasa linapokuja suala la mikanganyiko kama hii, mimi najiuliza je ilikuwa ni bahati mbaya au alikusudia?
Alafu akaporwa baada ya kuporwa akapewa nani? Maana kama angepewa shen angetangazwa kuwa ndie mshindi ila kwasababu hakujulikana aliyeporwa ndio maana uchaguzi ulirudiwaMaalim alishinda uchaguzi wa tarehe 25
Lipumba alishafukuzwa ndani ya chamaSio
Hiyo sio issue kesi yaweza endelea wakiwa wamepigwa chini ubunge.Kesi haijatolewa hukumu huwezi zuia shughuli zingine za chama zisiendelee zikiwemo za kuwapiga chini wakorofi ndani ya.chama.Spika usiogope wapige chini
Niliposoma habari hiyo na kuona Bunge limepokea nikajiuliza sanaKwa maoni yangu, kwakuwa kuna mashauri Mahakamani yanayojikita katika uhalali wa viongozi wa CUF, suala hili linapaswa kusubiri kuisha kwa mashauri husika. Hii ni kwakuwa hata uanachama wa Prof. Lipumba pamoja na Mbunge Sakaya unahojiwa mahakamani.
Yatakapoisha mashauri hayo yaliyo mbele ya Mtukufu Jaji Ndyansobera, viongozi halali watajulikana. Na vitendo na maamuzi halali vitaonekana. Mambo ya CUF yatakwisha tu kisheria siku si nyingi.
Hujui kama Bunge ni mhimili unaojitegemea?Kwa maoni yangu, kwakuwa kuna mashauri Mahakamani yanayojikita katika uhalali wa viongozi wa CUF, suala hili linapaswa kusubiri kuisha kwa mashauri husika. Hii ni kwakuwa hata uanachama wa Prof. Lipumba pamoja na Mbunge Sakaya unahojiwa mahakamani.
Yatakapoisha mashauri hayo yaliyo mbele ya Mtukufu Jaji Ndyansobera, viongozi halali watajulikana. Na vitendo na maamuzi halali vitaonekana. Mambo ya CUF yatakwisha tu kisheria siku si nyingi.
Huu mgogoro utamalizwa endapo tu mmoja kati ya Lipumba ama maalim seif kuondoka duniani,,, Matarajio ya Lipumba kwakuwa anaungwa mkono na serikali na ccm maombi yake yatakubalika na kupelekea kuwaondoa hao wabunge na kuweka wabunge wake ili kuwea kurudisha control ya wabunge kwani hana uwezo huo kwa sasa..
matarajio yangu ni kuwa naona siku za usoni pale buguruni ofisi ndogo watu watakatana kisu na mapanga,,, mgogoro wa cuf unaelekea kuondoa baadhi ya maisha watu,,, tujiandae kuona umwajikaji wa damu,,,