Spika wa bunge (Anne Makinda) akiri posho kuongezwa!

Akiongea na waandishi wa habari leo spika amesema wameongeza posho kutoka 70,000 hadi laki 2 kwa siku.
At least presha imeshuka huyu Kashililah alinichanganya sana.....nilikuwa najiuliza nitaiambia nini nyumba ndogo niliyokwisha i-promise.
 
Tanzanian members of parliament,how can you be so much pityless..?Is that you dont see how people starve?Instead of claiming equal and fair distribution of the national income, you are fighting to be in the royal class..!To whom your representation is vital?We expected you to narrow the gap between 'them' and them you disappoint us by joining 'them'!There in the parliament house you are representing your family and not the poor voters!Is your desire to cough out more power that even the deafs can sense your voices?I hate you so much...!
 
Halafu amewasemea wabunge kuwa mshahara wanaopokea ni mdogo sana ukilinganisha na majukumu wanayofanya. Hivi huyu mama ana ndugu nyumbani kwao au ndiyo wale waliokimbia kijijini kwa kukataa kuolewa?

Sijua hata kama ilishawahi kupata mtoto ali ajue uchungu ausikiao binadamu mungine any way nasikia alilea mtoto wa Mkulu wa pembeni (Mwanasheria mmoja sio vizuri kumtaja) lakini kulea haitoshi ndio haijalishi wanalalamika nini yeye hasikii kilio chetu
 
Wanajua sisi watz ni mabwege tu .yaani tunaishia kulakamika tu. Nasikia rais hupitisha haraka nyongeza za wabunge kwani wakati anaposaini tu nayeye posho zake huongezeka kwa asilimia zilezile za ongezeko la wabunge au zaidi. Haya ndiyo maisha bora kwa kila mtz ***** wa kizazi hiki. Twendeni barabarani kesho acheni kulalamika kisenge kwenye mitandao.tatizo sio rais wala wabunge tatizo watz.
 
katika watumishi wenye hali ngumu kimaisha ni '' MWALIMU'' walimu wanahali mbaya bora machinga mara mia
 
Watanzania naona sasa wakati wa kukusanyika viwanja gymkana club.jee juzi ofisi ya bunge imekanusha leo spika anakiri
 
Watanzania naona sasa wakati wa kukusanyika viwanja gymkana club.jee juzi ofisi ya bunge imekanusha leo spika anakiri.source tbc1 habari saa 2 leo usiku
 
Watanzania naona sasa wakati wa kukusanyika viwanja gymkana club.jee juzi ofisi ya bunge imekanusha leo spika anakiri


Kanali Mnali arudishwe haraka. Nahisi kuna watu wanastahili kuchapwa viboko. Kama ni kweli Ofisi ya Bunge ilikanusha na leo Spika anasema ni kweli basi kuna mtu hapa wa kuchapwa bakora!
 
200,000*wabunge 400 kwa siku mara siku 30 za kikao cha bunge ni bilion 2.4
hebu oneni dhambi hii
 
hakuna mawasiliano kati ya Mh Spika na Katibu wa bunge

hivi ninani anatakiwa kuwa ndio msemaji wa bunge kwa maana ya kutoa taarifa mbalimbali za kibunge?
 
Back
Top Bottom