Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,427
- 85,872
Miezi michache alisimama mbele ya Bunge akidai kuwa CHADEMA kuna mfumo dume na kwamba yeye "anawaonea huruma na kuwaheshimu sana wanawake"
Leo hii, Spika yule yule, tena kwa udhalilishaji wa hali ya juu, kamtoa nje Mbunge wa CCM kwa kile kilichodaiwa kuwa "amevaa" nguo isiyo ya heshima.
Huyu Mbunge hakuwa anacheza dance, aliingia na kuketi, wala hakujitembeza mbele ya Bunge na "kuwatamanisha" wakware, iweje Ndugai ashindwe kutumia busara na kuamua kumdhalilisha kwa kiasi kile?
Hata hivyo, nimekumbuka wote ni CCM wanajuana wenyewe, "wakimalizana na sisi, watageukiana wenyewe kwa wenyewe"
Leo hii, Spika yule yule, tena kwa udhalilishaji wa hali ya juu, kamtoa nje Mbunge wa CCM kwa kile kilichodaiwa kuwa "amevaa" nguo isiyo ya heshima.
Huyu Mbunge hakuwa anacheza dance, aliingia na kuketi, wala hakujitembeza mbele ya Bunge na "kuwatamanisha" wakware, iweje Ndugai ashindwe kutumia busara na kuamua kumdhalilisha kwa kiasi kile?
Hata hivyo, nimekumbuka wote ni CCM wanajuana wenyewe, "wakimalizana na sisi, watageukiana wenyewe kwa wenyewe"