BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
Wacha ujinga juha wewe! Kama ndiyo hivyo kwanini alitumia kauli ya vitisho ya kumfunga pingu?
Kaona negative reaction ya Watanzania tunaojitambua sasa KASTUKA anaanza kujibaraguza.
Kaona negative reaction ya Watanzania tunaojitambua sasa KASTUKA anaanza kujibaraguza.
Unachanganyikiwa bila sababu za msingi spika amasema wataanza kufanya kazi na sieiji hili swala litakapoisha hii ina maana spika yupo ve+ ili jambo liishe vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app