GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Hakuna kitu GENTAMYCINE nakichukia kama Unafiki na Kuonea Watu hovyo. Sasa nami nasema Kwako Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson kuwa ukishaletewa huyo uliyeamuru kuwa akamatwe kwa Kupiga Picha Loliondo tafadhali amrisha pia na Mtangazaji wa EFM Maulid Kitenge na Mchambuzi wa Mpira Oscar Oscar nao Wakamatwe kwa alichokifanya huyu wa Loliondo hakina tofauti na Walichokifanya hawa yaani ni kama tu na kutaja Sewahaji na Mwaisela ambazo zote tu ni Wodi sawa pale Muhimbili National Hospital ( MNH )