Pre GE2025 Spika Tulia Ackson: Natamani kumuona Manara bungeni. Naibu Spika akistaafu siasa nitamshauri Manara akagombee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
2,096
5,592
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Tulia Ackson ameeleza jinsi ambavyo amekuwa akitamani kumuona Mkurugenzi Mtendaji wa ManaraTv Hajji Manara akiwa ni miongoni mwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Unajua kule bungeni, lengo la ubunge ni uwakilishi na yeye (Manara) ama mtu anayeweza kuzungumza na kuweka hoja vizuri. Kwa kweli atakuwa mwakilishi mzuri kwa wananchi watakaomchagua"

Pia soma
> Pre GE2025 - Jimbo la Ilala mnamtaka Haji Manara awe mbunge wenu? Kuna ujumbe wenu hapa

 
Ko bunge limekuwa BSS kila mtu mwenye mdomo wa kuongea anaenda. Ndo maana Bongo hatuendelei Tanakosa viongozi wenye maono na watakao weka maslahi ya nchi mbele sio matumbo yao, unapo muweka mtu ambae hana kiitega uchumi ni kwenda kula hela zetu na kucbukua posho na V8. Kazi za kukopa pesa na misaada marekani ila kuanzisha miradi yetu aaaahh

Huyo Tulia anachukulia bunge ni sehemu ya kuonyesha kipaji cha kuzungumza ili kutia mvto bunge lisi poe
Bdo tunasafali ndefu...


View: https://www.instagram.com/p/DE0DV3SAFad/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
 
Masihara masihara hivi mara siku yanakuwa ya kweli,tukumbuke CCM wao hawahitaji una nini kichwani wanachotaka wao ni una nini mdomoni.

Ukiwa na maneno mengiii hata kama huna la maana wewe umekula maisha.
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Tulia Ackson ameeleza jinsi ambavyo amekuwa akitamani kumuona Mkurugenzi Mtendaji wa ManaraTv Hajji Manara akiwa ni miongoni mwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Unajua kule bungeni, lengo la ubunge ni uwakilishi na yeye (Manara) ama mtu anayeweza kuzungumza na kuweka hoja vizuri. Kwa kweli atakuwa mwakilishi mzuri kwa wananchi watakaomchagua"

Manara madako yake
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Tulia Ackson ameeleza jinsi ambavyo amekuwa akitamani kumuona Mkurugenzi Mtendaji wa ManaraTv Hajji Manara akiwa ni miongoni mwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Unajua kule bungeni, lengo la ubunge ni uwakilishi na yeye (Manara) ama mtu anayeweza kuzungumza na kuweka hoja vizuri. Kwa kweli atakuwa mwakilishi mzuri kwa wananchi watakaomchagua"

Pia soma
> Pre GE2025 - Jimbo la Ilala mnamtaka Haji Manara awe mbunge wenu? Kuna ujumbe wenu hapa

Upuuzi wa Tanzania, Nani alituroga! Sasa manara ni Nani? Ana mchango gani kwenye sekta ya Sanaa, michezo, uchumi? Ana, impact gani katika mukatadha wa, nchi, ukiacha uropokaji na makelele? Hana tofauti na wema sepetu, kajara(huyu cha pekee kinachomuweka mjini, ni, msambwanda tu),
Tungekuwa nchi ya wenye akili, tungemuita Benjamin Fernandez boss wa Nala, Gibson kawago mtaalam wa renewable energy, au Maxence Melo boss wa Jamii forum!
Sie tunaita Hao kenge, jamaa kaenda na mkewe, na mkewe anajiona celebrity kama Kardashian! Hana cha maana zaidi ya matako
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Tulia Ackson ameeleza jinsi ambavyo amekuwa akitamani kumuona Mkurugenzi Mtendaji wa ManaraTv Hajji Manara akiwa ni miongoni mwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Unajua kule bungeni, lengo la ubunge ni uwakilishi na yeye (Manara) ama mtu anayeweza kuzungumza na kuweka hoja vizuri. Kwa kweli atakuwa mwakilishi mzuri kwa wananchi watakaomchagua"

Pia soma
> Pre GE2025 - Jimbo la Ilala mnamtaka Haji Manara awe mbunge wenu? Kuna ujumbe wenu hapa

Rubbish
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Tulia Ackson ameeleza jinsi ambavyo amekuwa akitamani kumuona Mkurugenzi Mtendaji wa ManaraTv Hajji Manara akiwa ni miongoni mwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Unajua kule bungeni, lengo la ubunge ni uwakilishi na yeye (Manara) ama mtu anayeweza kuzungumza na kuweka hoja vizuri. Kwa kweli atakuwa mwakilishi mzuri kwa wananchi watakaomchagua"

Pia soma
> Pre GE2025 - Jimbo la Ilala mnamtaka Haji Manara awe mbunge wenu? Kuna ujumbe wenu hapa

Manara anafaa kuwa mbunge, kama msukuma ameweza yeye ashindwi ni nafasi tu
 
Kama mgeni akija ghafla hapa nchini akasikia vitu wanavyoongea hawa ambao ndio watunga Sera na wenye wajibu wa kuhakikisha wanawatoa wananchi wao kwenye misery...; Anaweza kudhani mambo ya maana yote yameshughulikiwa (issues) na sasa tuna muda wa kutumia rasilimali muda kwenye non issues (blah, blah, blah)
 
Back
Top Bottom