John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,373
Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari. leo Februari 14, 2022 ameeleza kuwa Mdee na wenzake 18 wako bungeni kihalali:
“Uharamu haupo kwasababu hawezi kuwa haramu halafu akawepo mule ndani. Nchi yetu inaendeshwa Kidemokrasia na Kisheria. Jambo moja tu linalosubiriwa ni watu kumaliza michakato yao inayohusika.
“Jambo moja linalosubiliwa ni kumaliza michakato yao inayohusika ndani ya chama. Katiba yetu inasema mbunge lazima awe mwanachama, kwa hiyo wakimaliza wakaleta taarifa tutachukua hatua.”
Kuhusu mpango wa kurejesha Bunge live, Tulia amejibu: “Hili ni jambo ambalo linazungumzika, wacha tuone sababu zilizolifanya kuondolewa. Tutazungumza na Waziri wa habari kuona nini cha kufanya.”
“Uharamu haupo kwasababu hawezi kuwa haramu halafu akawepo mule ndani. Nchi yetu inaendeshwa Kidemokrasia na Kisheria. Jambo moja tu linalosubiriwa ni watu kumaliza michakato yao inayohusika.
“Jambo moja linalosubiliwa ni kumaliza michakato yao inayohusika ndani ya chama. Katiba yetu inasema mbunge lazima awe mwanachama, kwa hiyo wakimaliza wakaleta taarifa tutachukua hatua.”
Kuhusu mpango wa kurejesha Bunge live, Tulia amejibu: “Hili ni jambo ambalo linazungumzika, wacha tuone sababu zilizolifanya kuondolewa. Tutazungumza na Waziri wa habari kuona nini cha kufanya.”