Mazingira yatakapo boreshwa haitaitwa Tena Gongo,Nadhani suala la gongo linahitaji mjadala wa kitaifa, kama konyagi ipo kwa nini gongo isiwepo? Wanywaji wa pombe za asili pia wanahitaji kinywaji kikali kama ambavyo wanywaji wa bia za chupa wanakinywaji kikali kama konyagi!
Utengenezaji wa gongo hautakoma leo wala kesho, utaendelea kuwepo milele hivyo ni jukumu la serikali kuhakikisha mazingira ya utengenezaji wake unaboreshwa na watumiaji wanapata kilicho bora!
Gongo Bungeni na Dr Slaa alitaka gongo iheshimiwe kwa kurasimishwa. Rais wa mioyo ya baadhi ya watu...."kanywere hatari sana wanaweza kukutupa kwenye kijiti"hata hivyo haiondoi maana kua ni mbunge wa ajabu, unaenda bungeni kutetea gongo?
Hili li Chadema lifukuzwe lirudi huko kwenye chuo Cha matusiSpika Tulia Ackson amesema wabunge wote wana hadhi sawa na hakuna mbunge wa ajabu, ametolea mfano Msukuma ameshawahi kuchangia kuhusu bangi na hakuna mtu aliyemuita mbunge wa ajabu na kudai yawezekana hoja kwa sababu Condester mwanamke ikawa na nguvu
Spika amesema kanuni za Bunge zinataka wabunge watunziane heshima na kumekuwepo taarifa
Kanuni zinamtaka aidha kumpeleka kamati ya maadili au kutoa onyo, Spika ameamua kutoa onyo na kumuomba radhi mbunge Sichalwe kwa niaba ya bunge.
Si kweli kuwa tutakuwa na jamii za walevi kwa kuwa wanywaji watabaki kuwa hawa hawa ila watakuwa na machaguo mengi ya vinywaji. Kwa sasa watu wanakunywa gongo katika mazingira hatarishi na wanakunywa kwa pupa kwa kuhofia mkono wa sheria na hivyo kuwasababishia kulewa vibaya.Serikali kama inataka kuhalalisha gongo basi iweke kodi kubwa ili waweze kuimudu wachache, gongo ni cheap itamaliza wengi tutakuana na jamii za walevi sana
Kwani jina gongo linatokana na mazingira inaponywewa?Mazingira yatakapo boreshwa haitaitwa Tena Gongo,
Na itakosa raha, n bora iendelee kupigwa marufuku hivo hivo. Ili tuendelee kuinywa kwa kificho ndio utamu wake.
Ebo ajabu yake nini? Gongo ni kilevi kama vilevi vingine!hata hivyo haiondoi maana kua ni mbunge wa ajabu, unaenda bungeni kutetea gongo?
Talk science please. Chemical composition ya Gongo Ni tofauti na Konyagi. Uncontrolled oxydation of ethyl alcohol generates dangerous chemicals such as aldehydes, ketones and many others which are not recommended for human consumptionNadhani suala la gongo linahitaji mjadala wa kitaifa, kama konyagi ipo kwa nini gongo isiwepo? Wanywaji wa pombe za asili pia wanahitaji kinywaji kikali kama ambavyo wanywaji wa bia za chupa wanakinywaji kikali kama konyagi!
Utengenezaji wa gongo hautakoma leo wala kesho, utaendelea kuwepo milele hivyo ni jukumu la serikali kuhakikisha mazingira ya utengenezaji wake unaboreshwa na watumiaji wanapata kilicho bora!
Hajasema iruhusiwe kasema..iundwe bodi itakayo simamia pombe za kienyezi ziboreshwe na kuingizwa katika soko rasmi..serikali ipate kodi.Kasema gongo iruhusiwe!
Wajadili na style za kumegana hakuna cha zaidi na kipya!Sasa hawana cha maana cha jadili gongo bangi etc haya basi sawa
To hell with your science! Watu wamekunywa gongo maisha yao yote mpaka wamezeeka zaidi ya miaka 70! Kupika gongo kwa kificho ndiko kumefanya watu kuweka vitu visivyostahiki, ingepikwa kwa uwazi hakika ni kinywaji kisicho na mshindani!Talk science please. Chemical composition ya Gongo Ni tofauti na Konyagi. Uncontrolled oxydation of ethyl alcohol generates dangerous chemicals such as aldehydes, ketones and many others which are not recommended for human consumption
labda hujaishi vijiji vya wanywa gongo ukaona weweSi kweli kuwa tutakuwa na jamii za walevi kwa kuwa wanywaji watabaki kuwa hawa hawa ila watakuwa na machaguo mengi ya vinywaji. Kwa sasa watu wanakunywa gongo katika mazingira hatarishi na wanakunywa kwa pupa kwa kuhofia mkono wa sheria na hivyo kuwasababishia kulewa vibaya.
Kwa hiyo hiyo bodi itasimamia mauzo ya pombe za kienyeji ikiwemo gongo?Hajasema iruhusiwe kasema..iundwe bodi itakayo simamia pombe za kienyezi ziboreshwe na kuingizwa katika soko rasmi..serikali ipate kodi.
#MaendeleoHayanaChama
Naishi Ileje tunakunywa na tuna afya njema! Umewahi sikia tunaomba msaada wa chakula kwa sababu tumeshindwa kulima.labda hujaishi vijiji vya wanywa gongo ukaona wewe
Tuombe ushauri kwa Jaji Warioba anaweza kutupa jibu sahihi.Nadhani suala la gongo linahitaji mjadala wa kitaifa, kama konyagi ipo kwa nini gongo isiwepo? Wanywaji wa pombe za asili pia wanahitaji kinywaji kikali kama ambavyo wanywaji wa bia za chupa wanakinywaji kikali kama konyagi!
Utengenezaji wa gongo hautakoma leo wala kesho, utaendelea kuwepo milele hivyo ni jukumu la serikali kuhakikisha mazingira ya utengenezaji wake unaboreshwa na watumiaji wanapata kilicho bora!
Kwanza gongo ni tiba ya Sukari ukitumia vizuri.Naishi Ileje tunakunywa na tuna afya njema! Umewahi sikia tunaomba msaada wa chakula kwa sababu tumeshindwa kulima.
Acha wafu wazike wafu waoKwanza gongo ni tiba ya Sukari ukitumia vizuri.
Laana ya UKAYAFA inawatafuna...Yeye mbona ameshindwa kumtunzia heshima musukuma!
😆😆😆 Ulionaaa nininwakati ana andika andika mkuu ?Niliwahi kukaa na mbunge wa Iringa anayoongea mmh! na nikamuona akiandika.Mmh elimu muhimu kwa hawa waheshimiwa.
Ana matatizo ya kufikiri wakati mmemchagua awe mbunge wenu? Unachekesha kweliHuyu Tabasamu mbunge wa sengerema ni mtu wa kuropoka tu...nadhani atakuwa na matatizo ya kufikiri..