Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,426
- 7,737
Spika Tulia Ackson amesema wabunge wote wana hadhi sawa na hakuna mbunge wa ajabu, ametolea mfano Msukuma ameshawahi kuchangia kuhusu bangi na hakuna mtu aliyemuita mbunge wa ajabu na kudai yawezekana hoja kwa sababu Condester mwanamke ikawa na nguvu
Spika amesema kanuni za Bunge zinataka wabunge watunziane heshima na kumekuwepo taarifa
Kanuni zinamtaka aidha kumpeleka kamati ya maadili au kutoa onyo, Spika ameamua kutoa onyo na kumuomba radhi mbunge Sichalwe kwa niaba ya bunge.
Spika amesema kanuni za Bunge zinataka wabunge watunziane heshima na kumekuwepo taarifa
Kanuni zinamtaka aidha kumpeleka kamati ya maadili au kutoa onyo, Spika ameamua kutoa onyo na kumuomba radhi mbunge Sichalwe kwa niaba ya bunge.