Spika Sitta - Iko wapi ripoti ya uchawi bungeni?

Mgaya

JF-Expert Member
Oct 1, 2007
519
2
Siku zinakwenda sasa na hakuna chochote kinachosemwa kuhusu suala la mbunge wa ccm na kiongozi mnene kabisa wa ccm ambaye pia anaita mapesa ya wizi vijisenti kufanya vitendo vya uchawi bungeni.

Mheshimiwa Sitta uliahidi kufanyia uchunguzi jambo hili, je umefikia wapi? Kama mnataka kufunika aibu katika hili basi ujue kuwa litajadiliwa hapa JF kwa vile ni jambo muhimu sana kwa maendeleo ya siasa za Tanzania. Wahenga walisema kuwa mficha kidonda harufu itamuumbua. Nakuomba Mheshimiwa Sitta ulete report ya uchawi bungeni na wahusika wachukuliwe hatua haraka sana iwezekanavyo.
 
Nafikiri mwenye kutakiwa kutoa ripoti hapa sio Spika kwani yeye tayari alishawasilisha nyaraka na vielelezo kwa vyombo vya dola , sasa hapa adaiwe Mkemia mkuu ,na polisi pamoja na idara ya usalama wa taifa .
 
Siku zinakwenda sasa na hakuna chochote kinachosemwa kuhusu suala la mbunge wa ccm na kiongozi mnene kabisa wa ccm ambaye pia anaita mapesa ya wizi vijisenti kufanya vitendo vya uchawi bungeni.

Mheshimiwa Sitta uliahidi kufanyia uchunguzi jambo hili, je umefikia wapi? Kama mnataka kufunika aibu katika hili basi ujue kuwa litajadiliwa hapa JF kwa vile ni jambo muhimu sana kwa maendeleo ya siasa za Tanzania. Wahenga walisema kuwa mficha kidonda harufu itamuumbua. Nakuomba Mheshimiwa Sitta ulete report ya uchawi bungeni na wahusika wachukuliwe hatua haraka sana iwezekanavyo.

Wewe Mgaya wenzako wanaficha aibu waliyoipata baada ya vyombo vya habari vya Kenya na Uganda kuanza kuifuatilia hii habari na wewe unataka kuifufua. Yataanza maswali ya magari yanayokwenda bagamoyo kila mwisho wa wiki na mengine mengi ambayo wakulu hawataki kuyaongolea.

hii ndio imetoka hivyo na hakuna report wala nini.
 
Nafikiri mwenye kutakiwa kutoa ripoti hapa sio Spika kwani yeye tayari alishawasilisha nyaraka na vielelezo kwa vyombo vya dola , sasa hapa adaiwe Mkemia mkuu ,na polisi pamoja na idara ya usalama wa taifa .

Nakubaliana nawe lakini pia uchawi ulifanyika bungeni na spika ndiye mkuu wa kaya ya bunge kwa hiyo si vibaya akiulizwa kuhusu hili.

Asante kwa maelezo na ufafanuzi
 
Ripoti ya uchawi bungeni ni muhimu ikatoka kwani kuna wabunge wengine huko bungeni ambao kwa kusema kweli kauli zao zinatia shaka.
 
Ripoti ya uchawi bungeni ni muhimu ikatoka kwani kuna wabunge wengine huko bungeni ambao kwa kusema kweli kauli zao zinatia shaka.

Mimi naisubiria kwa hamu kubwa sana ili ukweli ujulikane na utendaji kazi wa mafisadi wa ccm uwe wazi zaidi
 
Mimi naisubiria kwa hamu kubwa sana ili ukweli ujulikane na utendaji kazi wa mafisadi wa ccm uwe wazi zaidi

Tena si ya kuisubiria kwa hamu...Bali waitoe kabla hata ya kuanza mjadala wa TAIFA!
Kwani si walisema huo "UNGA UNGA" Uko kwa mkemia mkuu?
Sasa kama kuna mbunge wetu ambaye alipata madhara na wabunge wetu ndio watunga sheria...Then inakuwa vipi waathirike ama KUTISHIWA MAISHA YAO halafu mjadala uendelee bila ya kutoa taarifa kamili za UCHUNGUZI?
Tuambiwe huo unga unga ilikuwa ni nini na huyo aliyouweka alikuwa na maana gani?
 
Mimi naisubiria kwa hamu kubwa sana ili ukweli ujulikane na utendaji kazi wa mafisadi wa ccm uwe wazi zaidi

Shiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiih Hey watch out usije kupigwa kipapai na wewe kwa kufunua mambo ya juju la waheshimiwa ambalo nahisi spika ameitia kapuni kiaina....Sasa unakumbushia tena? Unaweza kusikia jogoo analia tumboni mwako humo..Teh! teh!tehteh!!
 
Kwa hali ilivyo kipapai kinaweza kuwa tayari kwani wabunge wenyewe wanalala tu huko bungeni!
 
Shiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiih Hey watch out usije kupigwa kipapai na wewe kwa kufunua mambo ya juju la waheshimiwa ambalo nahisi spika ameitia kapuni kiaina....Sasa unakumbushia tena? Unaweza kusikia jogoo analia tumboni mwako humo..Teh! teh!tehteh!!

kwi kwi kwi,

Mimi hawaniwezi, uchawi wao utaishia huko huko bagamoyo na idodomya lakini sio hapa mtandaoni.
 
Kwa hali ilivyo kipapai kinaweza kuwa tayari kwani wabunge wenyewe wanalala tu huko bungeni!

kweli kabisa mushi, ukiona jinsi wanavyolala huku mafisadi wakipeta tu basi utaamini kuwa vipapai vimewazidia nguvu. Unakumbuka Dr Slaa alivyokumbusha wabunge kusema kila kinachoandikwa hadi Mkullo akabidi kubadili maandishi kwenye bajeti yake?

Waache uchawi na kufanya kazi, inatisha sasa.
 
Kama watu wameanza kuchinja akina mama wanatafuta makoo itakuwa hii ya unga kwenye bunge, wakubali wasikubali uchawi upo, wangetoa taarifa tu ili guessing game iishe.
 
kweli kabisa mushi, ukiona jinsi wanavyolala huku mafisadi wakipeta tu basi utaamini kuwa vipapai vimewazidia nguvu. Unakumbuka Dr Slaa alivyokumbusha wabunge kusema kila kinachoandikwa hadi Mkullo akabidi kubadili maandishi kwenye bajeti yake?

Waache uchawi na kufanya kazi, inatisha sasa.

Ukiacha wale waliolazwa hospitali...Kuna wale wanaoongea kama wamechanganyikiwa...Na wale wenye kunyamaza...Wanayafanya haya!
RIPOTI ITOKE MARA MOJA!

attachment.php
 
Kama watu wameanza kuchinja akina mama wanatafuta makoo itakuwa hii ya unga kwenye bunge, wakubali wasikubali uchawi upo, wangetoa taarifa tu ili guessing game iishe.

Wao wanajua watanzania ni wepesi wa kusahau kwa hiyo wanavuta muda ili yasahaulike na mzee wa vijisenti aendelee "kutafuta kiti cha kukaa usiku wakati taa zimezimwa na kamera za usalama zimewekwa off"
 
Spika Anaficha Kwakuwa Akitoa Mkanda Na Ripoti Hio Ni Yeye Ndio Atakuwa Ni Mzushi Na Muongo...chenge Kasema Wazi Kuwa Mkanda Uchezwe,yeye Anauficha Kwa Manufaa Ya Nani?mh Sita Hana Uwezo Wa Kutosha Ni Bingwa Wa Kuruka Maamuzi Yake..alipata Kusema Ra Aje Ajieleze Bungeni Na Alipoona Maelezo Yanamuumbua Akayaweka Kapuni
 
Tena si ya kuisubiria kwa hamu...Bali waitoe kabla hata ya kuanza mjadala wa TAIFA!
Kwani si walisema huo "UNGA UNGA" Uko kwa mkemia mkuu?
Sasa kama kuna mbunge wetu ambaye alipata madhara na wabunge wetu ndio watunga sheria...Then inakuwa vipi waathirike ama KUTISHIWA MAISHA YAO halafu mjadala uendelee bila ya kutoa taarifa kamili za UCHUNGUZI?
Tuambiwe huo unga unga ilikuwa ni nini na huyo aliyouweka alikuwa na maana gani?

Inamaana Mkemi Mkuu nae ni mganga? Maana ninavyofahamu mimi kama sio mganga basi jibu litakalo kuja tutaambiwa sio Uganga ni VUMBI TUU MAANA SIUNAJUA DODOMA KUNA VUMBI SANA
 
Inamaana Mkemi Mkuu nae ni mganga? Maana ninavyofahamu mimi kama sio mganga basi jibu litakalo kuja tutaambiwa sio Uganga ni VUMBI TUU MAANA SIUNAJUA DODOMA KUNA VUMBI SANA

wangesha tangaza matokeo au ndo mambo yaleyale ya kutotoa matokeo ya uchunguzi au tume? Ila mimi nadhani kuna katatizo hapo ndiyo maana inawachukua muda mrefu.
 
Inamaana Mkemi Mkuu nae ni mganga? Maana ninavyofahamu mimi kama sio mganga basi jibu litakalo kuja tutaambiwa sio Uganga ni VUMBI TUU MAANA SIUNAJUA DODOMA KUNA VUMBI SANA

Vumbi lipelekwe kwa mkemia mkuu?Mkemia mkuu yeye mwenyewe hawezi kuujua uchawi labda kama na yeye ni mchawi!
Sisi tunachotaka ni ripoti!
 
Jamani Salva kesha waambia waandishi wasiandike habari za "NDUMBA" maana wawekezaji watafyatuka mbio, mnadhani agizo hilo alilotumwa Salva kulitoa linaishia kwa waandishi pekee? hata Kwa Spika habari ndio hiyo. Ala!
 
Kwani Bungeni kulikua na uchawi nyie vipi?Si mshaambiwa mheshimiwa alikua anatafuta kiti chake?Sasa mnataka ripoti gani kama sio umbea usio na mpango!!!
Watu wanatafuta viti vyao nyie mnalalia uchawi!! Tehe tehe...... mshapigwa changa na changa lenyewe limemwagiwa maji limegeuka tope.Ukipigwa tope jichoni unafikiri utalitoa hivi hivi??

Shauri zenu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom