Siku zinakwenda sasa na hakuna chochote kinachosemwa kuhusu suala la mbunge wa ccm na kiongozi mnene kabisa wa ccm ambaye pia anaita mapesa ya wizi vijisenti kufanya vitendo vya uchawi bungeni.
Mheshimiwa Sitta uliahidi kufanyia uchunguzi jambo hili, je umefikia wapi? Kama mnataka kufunika aibu katika hili basi ujue kuwa litajadiliwa hapa JF kwa vile ni jambo muhimu sana kwa maendeleo ya siasa za Tanzania. Wahenga walisema kuwa mficha kidonda harufu itamuumbua. Nakuomba Mheshimiwa Sitta ulete report ya uchawi bungeni na wahusika wachukuliwe hatua haraka sana iwezekanavyo.
Mheshimiwa Sitta uliahidi kufanyia uchunguzi jambo hili, je umefikia wapi? Kama mnataka kufunika aibu katika hili basi ujue kuwa litajadiliwa hapa JF kwa vile ni jambo muhimu sana kwa maendeleo ya siasa za Tanzania. Wahenga walisema kuwa mficha kidonda harufu itamuumbua. Nakuomba Mheshimiwa Sitta ulete report ya uchawi bungeni na wahusika wachukuliwe hatua haraka sana iwezekanavyo.