Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

Habari wadau, naamini jukwaa hili ni huru hivyo naruhusiwa kutoa maoni. Nimesikia spika wa bunge letu Mh Ndugai akizungumza habari za Yesu na mke wake.

Mimi naamini ingekuwa ni kosa la ulimi kuteleza angeligundua na kusahihisha papo hapo, kwa maoni yangu ni kwamba alifanya makusudi au hakuwa anatafakari kila anacho tamka (yaani kinachotoka mdomoni hakikurudi akilini ili ajue ni sahihi au la.

Uzungumzaji wa aina hii haufai, aitwe ahojiwe kwa kusema uongo, kudhihaki na kushusha hadhi ya Bunge.
Ha ha ha
 
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh 😥😥😥😥
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Watanzania bwana, wana nongwa kweli. Mtu ameshaomba msamaha lakini bado watu wanaendelea kumsakama. Ni dhahiri hapa kuna chuki binafsi.
 
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh 😥😥😥😥
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Huyu tusimhukumu sana kwa kuwa aliwahi kusema ana faili Mirembe. Tuzidi kumuombea apone haraka.
 
hizo ndio akili za wapinzani wa Serikali. Ila wako wachache sana hawana madhara. Ndugai mi nimempenda sana anautendea haki mhimili wa bunge, angefaa hata kuwa Rais wa nchi hii awashughulikie vizuri wapuuzi km kina Gwajima...
Jadili hoja ya Yesu kutembea na mke wake. Inamaana alitaka kusema walipofika Nazareth akalala na kufanya nini Kama wangekuta sehem ya kulala?
 
Yaaani kwel bunge zima, wamshauri wa spika wote, muda ule ule walishindwaje kumpa memo fup aweze kurekebisha?

Kinacho umiza na kushangaza, spika labda alikosea kwel, lakin wabunge wote alishangilia hakuna aliye omba mwongozo!!!

Naomba kujua ni wabunge wangapi wamechanjwa labda hapo ndo hisia zangu zitanipa maamuz sahihi.

Lakin pamoja na hii, spika motive yake alitaka kujenga hoja Gwajima aonekane wa hovyo kweli kweli Ila tu Mungu akageuza kibao . Yeye Spika na bunge lake ndo kwa tukio hili wanaonekana wa hovyo kwel kwel. Huyo ndiye Mungu ageuzae kibao kwa maadui wake.

Baba Kajamba mbele ya watu kwa sauti PUUUUUU, na watoto wake wamechekea ushuzi wa baba yao kwa sauti mbele ya kamera.
Kaz iendeleee
 
Habari wadau, naamini jukwaa hili ni huru hivyo naruhusiwa kutoa maoni. Nimesikia spika wa bunge letu Mh Ndugai akizungumza habari za Yesu na mke wake.

Mimi naamini ingekuwa ni kosa la ulimi kuteleza angeligundua na kusahihisha papo hapo, kwa maoni yangu ni kwamba alifanya makusudi au hakuwa anatafakari kila anacho tamka (yaani kinachotoka mdomoni hakikurudi akilini ili ajue ni sahihi au la.

Uzungumzaji wa aina hii haufai, aitwe ahojiwe kwa kusema uongo, kudhihaki na kushusha hadhi ya Bunge.
NDUGAI ANA ILE KINGA BABU KUBWA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Habari wadau, naamini jukwaa hili ni huru hivyo naruhusiwa kutoa maoni. Nimesikia spika wa bunge letu Mh Ndugai akizungumza habari za Yesu na mke wake.

Mimi naamini ingekuwa ni kosa la ulimi kuteleza angeligundua na kusahihisha papo hapo, kwa maoni yangu ni kwamba alifanya makusudi au hakuwa anatafakari kila anacho tamka (yaani kinachotoka mdomoni hakikurudi akilini ili ajue ni sahihi au la.

Uzungumzaji wa aina hii haufai, aitwe ahojiwe kwa kusema uongo, kudhihaki na kushusha hadhi ya Bunge.
Akiitwa na kamati nakupa zawadi ya Mbuzi mmoja uumle supu 🤣 🤣 🤣
 
20210901_072240.jpg
 
Msikilize Ndugai halafu soma kitu Biblia inasema.

4 So Joseph also went up from the town of Nazareth in Galilee to Judea, to Bethlehem the town of David, because he belonged to the house and line of David. 5 He went there to register with Mary, who was pledged to be married to himand was expecting a child.6 While they were there, the time came for the baby to be born, 7 and she gave birth to her firstborn, a son. She wrapped him in cloths and placed him in a manger, because there was no guest room available for them.
He was wrong and he has apologized to all Christians. As Christians let's us forgive him and move on.
 
Wamrudishe kwa makabachori akashugulikiwe vzr alichokua anatibiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom