Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 459
- 516
Atakanusha kuwa hakusema hivyo,lakini sote tumesikia na Hansard zimenasa hivyo,labda afute maneno yake kuweka kumbukumbu sahihi,kwa maana to error is human.
Nimeshangaa kusikia kuwa Yesu alioa mke,labda imeandikwa kwenye agano toleo jipya.
Nimeshangaa kusikia kuwa Yesu alioa mke,labda imeandikwa kwenye agano toleo jipya.