ricostersundi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 358
- 440
Ameomba ladhi.sawa tumekubali ,lakini bado kapotosha,kwamba walienda Jerusalem wakati sio.sasa hapo MTU aliyekuwa anatamba kwamba anamjua Mungu na mshauri wa askofu mkuu wa anglikana duniani alafu anatudanganya utajisikiaje?.kwamba wengine hatupendi kujisifu kumbe yupo tupu.na Mungu kamuumbuaNi chuki tu mkuu....