Mkuu si kakosea tu bali anakidhalilisha kiti cha Uspika...Hiki kiti kina heshima yake bwana toka Uhuru enzi za kina Adam Sapi Mkwawa..ila kwa sasaaaa hiiiiii......Ukweli Ndugai amekosea , na sasa kwa sababu wameshajitungia sheria ya kutokushtakiwa, basi anachofanya ni ulevi na ubabe wa madaraka.