Mhe. Rais kama anasikiliza aanze kwa kumuondoa Mke wa Ndugai kama DED wa Bahi Dodoma, Ndugai hana ethics za kazi kabisa kwa kila jambo kulifananaisha na maslahi ya mkewe. Upuuzi sana huu.Kwahiyo wakurugenzi wasimzidi mkewe mshahara??.
Yeye anajua limitation za uspika wake?
Au anajiona anaweza ropoka chochote?