Tena la Kiswahili kabisaNimetukana
Atatembelea vitasa .Hili gonjwa lenye kutumia mabilioni kwenye matibabu lingenyamaza maana bila Jiwe lingekuwa Lupango.Huyu jamaa akifa aombe asimkute John kawa kiongozi wa malaika lasivyo hataamini macho yake.
Ndugai anatumwa na mabeberu!
Kwakwakwaaa😂😂😂Ndugai anatumwa na mabeberu!
Akapimwe akili. Kikatiba Bunge lina wajibu kuisimamia serikali. Ndani ya hiyo serikali yeye alikuwa spika. Alichukua hatua zipi? Anajitukana, anaepatikana wote waliokuwa serikali hiyo ikiwa ni pamoja na rais wa sasa. Ndugai hufai, na kama ni gazeti, hufai hata kwa kufungia milungi.Kwani awamu ya tano Ndugai alikuwa siyo mmoja wao?
Haaaaa Haaaaa 😂Yale ya kistend ya mabasi😅..michn u
Inasemekana mkewe ni DED. Anapambana mkewe naye apewe hadhi ya uspika. Jinsi siku zinavyoenda ndivyo picha halisi ya Ndugai inajitokeza. Hastahili kuwa kwenye kiti anachokalia. Haaminiki maana anabadilika jinsi upepo unavyovuma.Awamu iliyipita ilikuwa na Mambo ya ajabu kabisa.. Job Ndugai, Spika wa Bunge La Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
View attachment 1753031
DED ana eneo kubwa kiasi gani? Tarura mkurugenzi anaangalia nchi nzima. Maslahi binafsi mpaka anaaibishaKati ya DED na mkurugenzi wa RUWASA au TARURA nani ana majukumu mengi yenye tija kwa jamii
Hoooooly Moooooly Maaaacaroni!!!Awamu iliyipita ilikuwa na Mambo ya ajabu kabisa.. Job Ndugai, Spika wa Bunge La Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
View attachment 1753031
ungepigiwa dua ww uende vipi usimkashfu shujaa jiweAngejua tunampigia maombi, ili amfwate mwendazake angeacha huu unafiki. Yeye na jiwe ndio walioharibu uchaguzi mkuu uliopita.