Nelson Masaduki
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 348
- 380
Spika wa Bunge wa Jamhuri ya Muungano, Job Ndungai umenena. Ni lazima Wabunge wafunguke, wachangie na wasiwe watu wa kuunga tu mkono kila jambo. Msipotimiza wajibu wenu kama Wabunge, lazima lawama hizi mzibebe tu, hazikwepeki.Tumekuelewa na hii ndio taswira.Kwa hili nakupa HEKO