Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,110
- 2,736
Miaka kadhaa sasa, Chama chango tawala CCM imekuwa ikihubiri kukiua Chadema kwa maana wanaonekana ni wapinzani wa utawala. Kukiua Chadema siyo issue, maana CHADEMA ikifa, kitakachokuja mbadala ni mbaya na kubwa Zaidi ya Chadema.
Chadema siyo wapinzani. Wapinzani ni watanzania. Mioyo yao ndio kuna upinzani, na wakiendelea kufanyiwa uhuni kama ninavyoona Spika Ndungai akifanya.
Natumai katika uchaguzi ujao, Spika ndungai na viongozi wengine wa chama changu wata pata aibu kubwa sana, maana huku mtaani hata wana CCM kama sisi tumekuwa wapinzani.
Viongozi wangu, mnaenda kuhaibika kwenye uchaguzi ujao. Polisi hawatakuwa na nguvu kutuokoa,
Chadema siyo wapinzani. Wapinzani ni watanzania. Mioyo yao ndio kuna upinzani, na wakiendelea kufanyiwa uhuni kama ninavyoona Spika Ndungai akifanya.
Natumai katika uchaguzi ujao, Spika ndungai na viongozi wengine wa chama changu wata pata aibu kubwa sana, maana huku mtaani hata wana CCM kama sisi tumekuwa wapinzani.
Viongozi wangu, mnaenda kuhaibika kwenye uchaguzi ujao. Polisi hawatakuwa na nguvu kutuokoa,